Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Dunia ya muziki wa hip hop mara nyingi hukumbwa na misukosuko ya wasanii kuwa kwenye kutokuelewana ama bifu, lakini mashabiki wengi sasa wanaamini ni muda sahihi kwa Disasta Vina kumfungulia tena milango Rapcha.
Vijana hawa wawili wamewahi kuandaa vibao vilivyotikisa, lakini ule mstari maarufu “Juzi juzi tu ulikuwa mtoto pori, leo unaita wachumba inbox mpigie story” ndio ulioibua mtikiso uliofanya Rapcha aonekane amevurugika na kupoteana.
Rapcha amerudi tena na kuachia video ya wimbo wa “Lissa 2”, kitu ambacho kinaashiria kwamba huwenda amejifunza, ama amekomaa na yupo tayari kuendelea na game. Sio kila bifu lazima liishe kwa hasara, bali linaweza kuibua ukuaji na heshima zaidi.
Vijana hawa wawili wamewahi kuandaa vibao vilivyotikisa, lakini ule mstari maarufu “Juzi juzi tu ulikuwa mtoto pori, leo unaita wachumba inbox mpigie story” ndio ulioibua mtikiso uliofanya Rapcha aonekane amevurugika na kupoteana.
Rapcha amerudi tena na kuachia video ya wimbo wa “Lissa 2”, kitu ambacho kinaashiria kwamba huwenda amejifunza, ama amekomaa na yupo tayari kuendelea na game. Sio kila bifu lazima liishe kwa hasara, bali linaweza kuibua ukuaji na heshima zaidi.