Hakuna hipo hope hapo ni ujinga tuDizasta Vina ni Real Hip-hop sema very underatted
Sikiliza hiki chuma kwanza wakati anamjibu Raptcha
View attachment 3478005
Nini kinacho kusikitisha hapo?Inasikitisha sana
Ni mtazamo wako mkuuHakuna hipo hope hapo ni ujinga tu
Mkuu! Tazama replies zote uone kama umepata mtu wa kukuunga mkono! Sio kila mada unapaswa kuweka neno! Zingine pita tuVIjana mkoshavuta mabangi, mnaakauka midomo vijiweni Hip hop. Hip hop. Nani mkali
Sijui nani ni nani.
Njaaaa kaliiiiii.
Kina Babu tale ambao hawajui hata kuandika wanatafuna mipesa ya wasaniii.
Pumbavuuuiii
Mngepeana basi hizo stori kwenye vijiwe vyenu vya bangi mjadili.Mkuu! Tazama replies zote uone kama umepata mtu wa kukuunga mkono! Sio kila mada unapaswa kuweka neno! Zingine pita tu
Sihitaki mtu wa kuniunga mkono.Mkuu! Tazama replies zote uone kama umepata mtu wa kukuunga mkono! Sio kila mada unapaswa kuweka neno! Zingine pita tu
Mbishi ali amua kukaa kimya kiutu uzima, sema ile diss ni nyokoUnahisi nani atakimbia hao wakiamua kuchangamsha game? Chochote kinawezekana coz hata p na Niki mbishi nakumbuka waliingia kwenye huu upande, futi sita ya p mawenge ikamnyamazisha mbishi😅😅
Kuna ile marapa mizigo 😁Niki alisanda pale, P akipewa pen na karatasi huwa hafai kabisa, ni ananyoosha mwanzo mwisho... Niki huwa hatulii kwenye mada moja.
Hatari yani, ni alimnyoosha sana mule ndani😅😅😅Mbishi ali amua kukaa kimya kiutu uzima, sema ile diss ni nyoko
una laana nyingi sema tu huja jishtukia😂😂Hatari yani, ni alimnyoosha sana mule ndani😅😅😅
Noma sana😂😂Ameambiwa kaanza kujua jua madem ndio anajiona amekua😅😅😅