little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 2,098
- 3,990
Sure..Kama haiwashiki basi hawahusiki na haitowasaidia~ (One -Kivyovyote)
Point yangu ni kwamba, kama mtu ni mdau wa hip hop hawezi kupitwa na ngoma yoyote ya huyu jamaa. Ukiona mtu anasubiri hit song basi huyo ni "Shabiki rukia rukia"/ "Shabiki waru waru".
