Dizasta Vina a.k.a Maradona

Dizasta Vina a.k.a Maradona

Jemedaree

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2021
Posts
677
Reaction score
2,072
Ni kweli Jamii imejaa sana ujinga that’s the reason why he’s not famous.

IMG_0393.png


Edger Vicent Mwaipeta (born February 17, 1993), known to one and all as Dizasta Vina, is a hip-hop musician from Mbeya, Tanzania.

He is known for his unique rhyme schemes and unparalleled storytelling.

His style transforms rap into philosophically viable poetry, delivering thought-provoking verses.

Dizasta Vina has managed to continuously issue hit after hit while maintaining a cult-like fan following that has fuelled the rapid rise of both his music and his reputation.

Kwa muda mrefu sana nmekuwa namfuatilia Dizasta toka enzi za Tamaduni,ni mmoja ya ma rapper bora zaidi kuwahi kutokea hapa bongo,uandishi wake na uwezo wa kufikiri umenifanya isipite siku bila kumsikiliza

Tayari anazo album/mixtape kadhaa sokoni
1. The wonder kid
2. The Verteller

Moja yaa ubunifu wake ni kutoa nyimbo zenye mwendelezo yaani kama movie series

-HATIA (1-5)
-No body is safe (1-4)
-Confession (mad son,mad teacher,mad philosopher)

Kama hujapata muda wa kumsikiliza huyu jamaa ebu pita YouTube sikiliza hizo ngoma kuna kitu utapata!

The verteller ni moja ya album bora kwangu 2020

Kama unamkubali dizasta Vina dodosha punchlines
Ambayo unaikubali kutoka kene ngoma zake.
 
Ni kweli Jamii imejaa sana ujinga that’s the reason why he’s not famous..!!View attachment 2474009


Edger Vicent Mwaipeta (born February 17, 1993), known to one and all as Dizasta Vina, is a hip-hop musician from Mbeya, Tanzania.

He is known for his unique rhyme schemes and unparalleled storytelling.

His style transforms rap into philosophically viable poetry, delivering thought-provoking verses.

Dizasta Vina has managed to continuously issue hit after hit while maintaining a cult-like fan following that has fuelled the rapid rise of both his music and his reputation.


Kwa muda mrefu sana nmekuwa namfuatilia Dizasta toka enzi za Tamaduni,ni mmoja ya ma rapper bora zaidi kuwahi kutokea hapa bongo,uandishi wake na uwezo wa kufikiri umenifanya isipite siku bila kumsikiliza

Tayari anazo album/mixtape kadhaa sokoni
1.The wonder kid
2.The Verteller

Moja yaa ubunifu wake ni kutoa nyimbo zenye mwendelezo yaani kama movie series
-HATIA (1-5)
-No body is safe (1-4)
-Confession (mad son,mad teacher,mad philosopher)

Kama hujapata muda wa kumsikiliza huyu jamaa ebu pita YouTube sikiliza hizo ngoma kuna kitu utapata!

The verteller ni moja ya album bora kwangu 2020

Kama unamkubali dizasta Vina dodosha punchlines
Ambayo unaikubali kutoka kene ngoma zake..!
Confession of a mad man.
Screenshot_2023-01-08-20-35-29-33_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg
Screenshot_2023-01-08-20-35-24-36_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg
Screenshot_2023-01-08-20-35-17-63_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg
Screenshot_2023-01-08-20-35-05-80_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg
Screenshot_2023-01-08-20-35-11-34_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg


Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-08-20-35-11-34_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg
    Screenshot_2023-01-08-20-35-11-34_6c958bcf69d94558c2985be3d71c34b8.jpg
    54.7 KB · Views: 62
Najua we' ni mrembo na machoni unapendeza
Ila una haraka na kwenda na kasi yako sitaweza

Umeanza kuigeza jinai
Eti nipate nguvu unanilisha pweza na chai

Haujui habari ulizosoma zimewekwa masilahi.

Umeshika simu sana mpaka umenipoteza walahi
Ukiona mashati mabuti unapagawa

Na miili ya movie ambayo wame-boost na madawa
Unataka niache kazi na mimi nishinde gym niji-boost
Eti niwe kama Jux unanigawa.

Ushanitia nuksi tangu zama
Tungeweka kifusi cha mchanga ukachagua harusi ya kisasa
Ulilia machozi nikavunga nikakusikiliza

Mpaka sasa tunaishi kwenye nyumba ya kupanga

Kisa unasema dunia tunapita, mpango gani huu

Ndani hatuna hata akiba ya pesa ni vidani tu

Sitasahau siku madeni ya harusi bado sijalipa

Ukalazimisha tukope ili twende honeymoon

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Ebwaana umeuaa…

Una file karibu zote za dizasta

Nmeona mpka “kikaoni”
Ile ngoma nlikuwa naisikiza enzi niko chuo
Ngoma ina madini sanaa unaeza tengeza movie kbs

Kama kuna mtu hajasikiza “kikaoni” your missing some dizasta pieces


Hata hivyo inahitaji ujasiri kuvimba na mke wa mtu na mmewe anajua hata kama alikimbia familia, uishie kuisikiliza tu ngoma sio ufanye wewe.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Najua we' ni mrembo na machoni unapendeza
Ila una haraka na kwenda na kasi yako sitaweza
Umeanza kuigeza jinai
Eti nipate nguvu unanilisha pweza na chai
Haujui habari ulizosoma zimewekwa masilahi.

Umeshika simu sana mpaka umenipoteza walahi
Ukiona mashati mabuti unapagawa
Na miili ya movie ambayo wame-boost na madawa
Unataka niache kazi na mimi nishinde gym niji-boost
Eti niwe kama Jux unanigawa



Ushanitia nuksi tangu zama
Tungeweka kifusi cha mchanga ukachagua harusi ya kisasa
Ulilia machozi nikavunga nikakusikiliza
Mpaka sasa tunaishi kwenye nyumba ya kupanga

Kisa unasema dunia tunapita, mpango gani huu
Ndani hatuna hata akiba ya pesa ni vidani tu
Sitasahau siku madeni ya harusi bado sijalipa
Ukalazimisha tukope ili twende honeymoon






Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app

Huu upendo unaniliza ah!
Huu mwendo umenishinda

Nimepaka rangi upepo nimekupenda wewe
Wakati unapenda urembo kupitiliza

Nimegundua hii hujuma sitanyamaza

Mpaka sipeleki tena huduma tena kwa maza

Baada ya miaka kadhaa ya kwenye nimegundua
Huu upendo wangu unanilemaza
 
Huu upendo unaniliza ah!
Huu mwendo umenishinda
Nimepaka rangi upepo nimekupenda wewe
Wakati unapenda urembo kupitiliza
Nimegundua hii hujuma sitanyamaza
Mpaka sipeleki tena huduma tena kwa maza
Baada ya miaka kadhaa ya kwenye nimegundua
Huu upendo wangu unanilemaza
Angalia rafiki zangu, kisha linganisha na rafiki zako
Hasa ambao wanaomzunguka binti yangu

Huwa nawaza wanachomfundisha ni nini?
Zaidi ya umbea kunywa pombe na kupiga vimini.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom