utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Diwani wa kata ya mungaa MATEO ALEX KIANGO, katika jimbo la singida mashariki linaoongozwa na mbunge wa chadema Tundu Lissu yupo mahabusu kituo kikuu cha polisi Central singida tangu siku ya jumanne kwa kosa la kukatakata miguu ng'ombe sita na kufyeka shamba la alizeti ekari 2 la mwananchi kijijini mungaa.
Mh.Tundu Lissu alifika mjini singida jana kushughulikia dhamana lakini wananchi wenye hasira kali wamemtahadharisha kuwa wakimuona diwani huyo wanatenganisha kichwa na kiwiliwili.
polisi walimkamata na kumuweka ndani ili pamoja na mambo mengine, kunusuru maisha yake..Atafikishwa mahakamani wakati wowote.
MY TAKE. KIONGOZI NI MFANO WA KUIGWA, AKANYWE KUACHA TABIA HII YA KIKATILI NA SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE KUKOMESHA VITENDO KAMA HIVI.
Mh.Tundu Lissu alifika mjini singida jana kushughulikia dhamana lakini wananchi wenye hasira kali wamemtahadharisha kuwa wakimuona diwani huyo wanatenganisha kichwa na kiwiliwili.
polisi walimkamata na kumuweka ndani ili pamoja na mambo mengine, kunusuru maisha yake..Atafikishwa mahakamani wakati wowote.
MY TAKE. KIONGOZI NI MFANO WA KUIGWA, AKANYWE KUACHA TABIA HII YA KIKATILI NA SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE KUKOMESHA VITENDO KAMA HIVI.