Diwani wa Monduli na M/kiti wa Uvccm Monduli Julius Kalanga ametangaza rasmi kumfuata rafiki yake Nillya Chadema. Kwenye FB yake aliulizwa na mtu fulani kama atamfuata rafiki yake Millya Chadema au la yeye akajibu, siwezi kumwacha rafiki yangu aende mwenyewe huko. Itakuwa pigo jingine kubwa kwa CCM kwani jamaa ni kichwa yaani jembe la nguvu na ana ufuasi mkubwa sana Monduli. Yeye atachukua Monduli, Millya Sumanjiro, jamani Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!