mzee wa ukweli
Member
- Sep 5, 2014
- 16
- 2
Jamani huyu Nyansika mimic simwelewi anasema barabara ya njia sita toka Banana - Kitunda -Kivule hadi Chamanzi ipo lakini asemi tutalipwa lini na itaanza . Kamati na Mbunge wanasema mradi huo bado hautambuliwi na serikali na barua wanazo.
Huyu diwani ana nia gani au yeye kazi yake ni kutuchanganya tu. Vitu vingine havihitaji hata shule.
Huyu diwani ana nia gani au yeye kazi yake ni kutuchanganya tu. Vitu vingine havihitaji hata shule.