Africana Jr.
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 123
- 17
Hata mbele ya sheria mahakamani wengi huwa wanakana makosa mbona amekuwa mwepec kiasi hicho. Ametoka katika kikao, pili kuulizwa hapo hapo akakiri na kuwapeleka polisi kwenye chimbo aliloliweka moto! Je, inaingia akilini kweli bandugu