Matukuta Jr
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 207
- 27
Diwani wa Kata ya LUTORO huko Kagera kwa tiketi ya CHADEMA amefanya Mauaji ya kutisha ya watu wa 4 huku moja ya watu hao akimtaka kabisa Koromeo.
Nini uhusiano wa Chadema na hili tukio?
Diwani wa Kata ya LUTORO huko Kagera kwa tiketi ya Chadema amefanya Mauaji ya kutisha ya watu wa 4 huku moja ya watu hao akimtaka kabisa Koromeo.
Hiki Chama kina shida sana na waumini wake.
Diwani wa Kata ya LUTORO huko Kagera kwa tiketi ya Chadema amefanya Mauaji ya kutisha ya watu wa 4 huku moja ya watu hao akimtaka kabisa Koromeo.
Hiki Chama kina shida sana na waumini wake.
Mkuu bora ungekaa kimya tu, hata hapa we umeonyesha ubendera wako. na kukosa ubinadamu na busara.Patience must have limits, Mwanasiasa aishiwapo subira, lolote laweza kutokea. We ulidhani ataudhiwa tu bila kufikia mwisho????? nadhani si huyo tu, na wengine yatawakuta.
Uhusiano ni Diwani kwa tiketi ya Chadema.
Huyu ni Kiongozi ndani ya Jamii kwa uwakilishi wa Chama!
we need the source pleaseeeeeeeee na picha wengine hapa ni tomaso sisi..!!:coffee:
TBC Habari.
AAAAHHHHHAAAAaaaa,Kumbee TBC!!!!! WALIOACHA KUONYESHA BUNGE wakaenda kuonyosha mwenge!!Huku watu wanagaa gaa vitandani kwa bomu,wangerusha hata matangazo ya salamu kwa wagonjwa Mount meru hospital.TBC Habari.