Uchaguzi 2020 Diwani wa CCM Martini Munisi, akimbilia Mahakamani kupinga Uchaguzi Mkuu ujao

Huyo diwani anawashwa atafutiwe dawa haraka...!
Tatizo la wanaume wa kichaga mnalewa sana hadi kushindwa kumshughulikia diwani wenu anafikia hatua ya kwenda kusumbua mahakama.!
 
Kwa nn akimbilie mahakamani wakati katiba inaruhusu, rais kuendelea kuongoza kama taifa lipo kwenye vita na adui. Adui tunaowatatu MARADHI, UMASIKINI NA UJINGA
 
Nimemkumbuka Yule Mzee MwanaCHADEMA kutoka KIGOMA aliyemchukulia FORM ya kugombea UENYEKITI miaka kadhaa nyuma baada ya ZITTO kugombana na MBOWE.

Misiasa ya Africa Ni #TAKATAKA sana
 
Hili ni hitaji la kikatiba....

Huyu ni diwani mbumbumbu wa taratibu na sheria....

Huyu ni miongoni mwa viongozi wasio na uelewa na ufahamu wa mambo wa kutosha....

Mahakama haina mamlaka kusitisha uchaguzi....

Bunge ndilo linaloweza kuja na azimio na kisha kutekelezwa na serikali.....
 
Uyu ni mmachame gani? mmachame mpumbavu kiasi icho hakuna cha uchaguzi kusitishwa?

Ukisitishwa october nchi apewe jaji mkuu au mkuu wa majeshi ufala hatutaki jiwe ana hofu ya kuondolewa Ikulu
Wamachame kama yeye wako wengi sana leo, kitu ambacho hapa Machame tuna sumbuka nacho, labda wamemchoka Mbowe. Njoo huku kijijini Uswaa (Oswald) utashangaa sana. Tusiwe very general kwa kujiliwaza , huku Machame hata mvuto wa siasa umepungua sana. Kazi tunayo.
 
Diwani wa ccm Martin Munisi kutoka Kata ya Machame Wilayani Hai ,Mkoa wa Kilimanjaro amejipanga kukimbilia Mahakamani kufungua shauri Mahakama Kuu kanda ya Kilimanjaro kutaka ahirisho la uchaguzi mkuu ujao sababu ya presha ya Corona.

======

View attachment 1394783
Diwani wa Machame Martin Munisi amekusudia kuwasilisha kesi Mahakama kuu ya Tanzania Moshi kuitaka serikali kusitisha maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka huu na kuzuia mikusanyiko ya kampeni pesa hizo zielekezwe Wizara ya Afya ilikuendeleza kampeni ya kujikinga na COVID-19

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana akili hadi mwezi ujao corona itakuwa ishathibitiwa dunia nzima watu wako maabara 24 hrs wanatafuta ufumbuzi.Uchaguzi mwezi wa kumi,hio sio hoja,yeye kama alikopa na hana namna ya kuishi nje ya Siasa ili kulipa deni akaolewe tu imekula kwake,uchaguzi upo pale pale
 
Diwani wa ccm Martin Munisi kutoka Kata ya Machame Wilayani Hai ,Mkoa wa Kilimanjaro amejipanga kukimbilia Mahakamani kufungua shauri Mahakama Kuu kanda ya Kilimanjaro kutaka ahirisho la uchaguzi mkuu ujao sababu ya presha ya Corona.

======

View attachment 1394783
Diwani wa Machame Martin Munisi amekusudia kuwasilisha kesi Mahakama kuu ya Tanzania Moshi kuitaka serikali kusitisha maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka huu na kuzuia mikusanyiko ya kampeni pesa hizo zielekezwe Wizara ya Afya ilikuendeleza kampeni ya kujikinga na COVID-19

Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa ni mbaya sana!!
 
Huyo jamaa msimuone chizi huo ndio mpangp mkakati uliopo kutoka katika chama chetu pendwa

Yawezekana ametumwa ili aanze kubadilisha mind za watu kuhusu hilo

Kumbuka hichi ni kipindi cha kubolesha daftali la wapiga kura so kama halitaboreshwa it means hakuna uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jamaa jinga kweli linawatia aibu watu wa kaskazini waliotambuliwa kwa usomi wao!
 
Back
Top Bottom