Daudi Daudi Mbao Aliyekuwa Diwani wa Kata Ya Tungi Manispaa ya Morogoro amefariki leo nyumbani kwake nane nane Morogoro Mjini.
Marehemu alikuwa anasumbiliwa na ugonjwa wa sukari kwa muda mrefu na imefahamika ndio chanzo cha mauti yake.
Msiba uko Nyumbani kwake nane nane morogoro mjini ,Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa kesho kwenye Makaburi ya Kola Mjini Morogoro
Bwana Ametoa na Bwana ametwaa Jiana la Bwana lihimidiwe
Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali pema Peponi Amen
Endelea Kupitia audifacejackson.blogspot.com kwa taarifa zaidi
Rip gamba,[FONT=Georgia, Times New Roman, serif][FONT=Georgia, Times New Roman, serif][/FONT]
Daudi Daudi Mbao Aliyekuwa Diwani wa Kata Ya Tungi Manispaa ya Morogoro amefariki leo nyumbani kwake nane nane Morogoro Mjini.
[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Marehemu alikuwa anasumbiliwa na ugonjwa wa sukari kwa muda mrefu na imefahamika ndio chanzo cha mauti yake.
[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Msiba uko Nyumbani kwake nane nane morogoro mjini ,Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa kesho kwenye Makaburi ya Kola Mjini Morogoro
[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Bwana Ametoa na Bwana ametwaa Jiana la Bwana lihimidiwe
[/FONT]
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif]Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali pema Peponi Amen
[FONT=Georgia, Times New Roman, serif][/FONT][/FONT]
Ngangari au waliberali?Haha wapili wa Makamanda na wana Ngangari au?
Kwa mlengo huu nashindwa kutofautisha chadema na alqaeda au al shabab kwani wote hufurahia vifo vya wengine na wanaua watu kwa jina la Mungu
R.I.P kamanda
R.I.P kamanda
Kata inachukuliwa hata msemeje!
Kufa kufaana bwana,haya.