Diwani wa CCM afariki dunia

Diwani wa CCM afariki dunia

kijenge

Senior Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
179
Reaction score
164
Diwani wa CCM ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini.
 
Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini.

Daaaah RIP Diwani na poleni sana wafiwa wote.
 
wa chsma gani aithee. Hata hivo si neno lala kwa amani kama ni mmoja wa makamanda. Ukombozi unaendelea.
 
wa chsma gani aithee. Hata hivo si neno lala kwa amani kama ni mmoja wa makamanda. Ukombozi unaendelea.
Muwe munasoma vizuri kabla ya ku-comment....thread inajieleza "Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini."
 
Rip diwani
tunataka wabunge bana waondoke hasa mawaziri
 
Back
Top Bottom