Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini.
Muwe munasoma vizuri kabla ya ku-comment....thread inajieleza "Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini."wa chsma gani aithee. Hata hivo si neno lala kwa amani kama ni mmoja wa makamanda. Ukombozi unaendelea.
r.i.p mh diwani wa ccm!
Rip diwani
tunataka wabunge bana waondoke hasa mawaziri
Mmmmhhhhhhh ngoja nikakojoe kwanza halafu nitarudi kucheki jibu.hivi mtu akitoa uzi wa tanzia, hafu mtu mwengine akabofya 'LIKE' hii imekaaje wadau?