MD25
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 3,074
- 1,018
Mh. Diwani alianza kuumwa mara tu baada ya kushinda uchaguzi. Hajawi kukalia kiti chake cha Udiwani. Ameugua muda mrefu lakini hakuna Daktari wa Hosp hata mmoja aliyepata kujua ugonjwa wake. Msiba upo hapa Tegeta kwa sasa.
Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahala pema, Ameni
Diwani wa ulanga, makazi Tegeta... Hawa magamba kazi kweli kweli, bora waanze kufa, dhuluma inawatoa roho sasa.
Bado vasco da gamba, si alidhulumu kula za Dr. Slaa, yetu macho muda wowote kamba inakata, cd4 zimepungua sana, ndo mana safari zimekuwa nyingi za kwenda kubadili blad.