KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
- Thread starter
- #21
Kilitime,
Hapa vurugu tupu na wacha tuone mwisho wake utakuwaje.
Sikuandika jana kwasababu hata mimi yamenikuta, nimechongewa kwenye uongozi wa wilaya kwamba namwandika vibaya mbunge JF.
Eti mbunge amepewa IP ya computer ninayotumia na uongozi wa JF. Hiyo ni JF where we dare to speak openly!
Wote tunaotumia hiyo kompyuta ya kazini tuliwekwa kitimoto ila hawana ushahidi ni nani. Nitawajulisheni zaidi baadaye. Watu wanashindwa kufuatilia maendeleo, kazi ni kufuatilia wale ambao wanapingana nao kimawazo. Engineer hayumbishwi na mtu yeyote.
Kuna vikao vingi bado vinaendelea. Mwenyekiti amekataa kuomba msamaha ingawaje sasa ni kama anakubali tafsiri yake ya hiyo sheria ilikuwa na makosa.
Leo siku ya tatu watu hawafanyi kazi na wanaongelea mgogoro huo tu.
Nikipata maelezo zaidi nitawajulisheni. Wacha nilinde kibarua changu kwanza.
Pole sana mzee, kibarua ndo maisha ntaendelea kutafuta vyanzo vingine muhimu kutoka huko nna nduguzangu huko na sehemu ya wakwe zangu bado ipo likini ni kaaaaazi kwelikweli! habari nilizopata hivi punde ni kweli mbunge yupo huko na bado ngoma nzito kweeeeeeli kweli!
leo naingia kazini usiku kwahiyo naamini ntayajua mengi kweli kutoka huko hebu nambie nafasi ya mwakyembe inaendelea kuimarika?
na wakazi walipokeaje swala la posho mbili?