KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
- Thread starter
- #101
Haya nyepesinyepesi.
Nimetaarifawa kutoka Kyela kwamba leo leo tena kuna kikao kizito kwa maagizo ya waziri.
wanaopaswa kuudhuria ni wazito zaid akiwemo mkuu wa mkoa na mbunge ni cha kumthibitisha Mkiti na kumchagua msaidizi wake hebu mlioko huko mtutaarifu ukweli ya haya na je mbunge na mkuu wa mkoa watakaa meza moja?
ikizingatiwa na hali ya siasa iliyopo??
tunaomba taarifa zaidi kutoka huko tuujue ukweli.
Nimetaarifawa kutoka Kyela kwamba leo leo tena kuna kikao kizito kwa maagizo ya waziri.
wanaopaswa kuudhuria ni wazito zaid akiwemo mkuu wa mkoa na mbunge ni cha kumthibitisha Mkiti na kumchagua msaidizi wake hebu mlioko huko mtutaarifu ukweli ya haya na je mbunge na mkuu wa mkoa watakaa meza moja?
ikizingatiwa na hali ya siasa iliyopo??
tunaomba taarifa zaidi kutoka huko tuujue ukweli.