Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Katiba ya chadema inatambua uwepo wa Uhuru wa kutoa maoni na kukosoana ndani ya chama.Katiba ya Jamhuri ya Muungano inatambua uwepo wa vyama vya siasa pamoja na mikutano ya hadhara , sasa ni vema ukamuuliza Magufuli kwanini anasigina katiba ya nchi kwa sababu za uoga ?
Kwa nini nyie mnawafukuza wanaokosoa ambao siyo wachaga?
Sent using Jamii Forums mobile app