masluphill
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 540
- 259
Kufukuza watu wanao kiuka utaratibu na miongozo mliokubaliana hiyo ni demokrasia Vipi kipotezwa wakosoa Sheli-Kali nayo ni Demokrasia?Eti huwa wanalilia MAgufuli akubali kutukanwa lakini, hawako tayari kukosolewa. UKiwaangalia wanaiga vituko vya CCM miaka ile ya chama akushika hatamu. Nao wanaiga kufukuzana. Unafukuza watu wanaotaka kuondoka wenyewe?
Umegundua utofauti hapo ama bado upo kibshite bashite?