McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Unakua romantic kwa jambazi kama Diva...?duh wanaume tuna kazi aiseeee
Kikubwa kala mzigo hayo mengine ni mbwembwe tu
Leo kupitia Clouds FM Mtangazaji wa kipindi cha Ala Za Roho "Diva" ametoa sababu za yeye kumuacha MwanaBongoFlava wetu King Crazy GK. kupitia kipindi cha leotena ya clouds fm Diva amesema GK hakuwa romantic, mfano matukio ya muhimu kama birthday, christmas diva alitegemea kupata zawadi kama maua, Keki na vitu vingine ka hivyo ila GK alimpa mikausho mikali kwenye upande huo kana kwamba ni vitu vya kawaida sana kwenye maisha ambavyo havihitaji kupewa priority kiviile. Mwanadada huyo kwa sasa yupo kwenye relationship na msanii mwengine wa bongoflava aitwae Heri Muziki.
RAI: wanaume wenzangu wa darisalama tujifunze kitu kwa GK. hata kama ni ugumu basi sio poa kuuapply hadi kwa mpenzi wako aseeh.
View attachment 679649
Imebaki story
unajua nakupendaMimi ninachojua na ninachoamini ni kwamba Diva ndiye alieanza kumtaka GK na siyo GK alianza kumtaka Diva!!.....Huo ndo ulikuwa mwanzo wa kufail kwa penzi!....na hili liwe funzo kwa wadada wote,acheni kiherehere cha kuanza kupenda, tulieni mpendwe!!