Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,928
Sijui ni kiki au kutaka zawadi, maana Magu alivyobana watu wanatumia mbinu zote.
Mwanadada diva ameshangaza watu baada ya kupost kuwa tarehe 15 ni siku yake kuzaliwa, ikiwa watu wanajua birthday yake ni May. Very soon anakua kichaa, maana kila kiki anayofanya huwa inafail.
Mwanadada diva ameshangaza watu baada ya kupost kuwa tarehe 15 ni siku yake kuzaliwa, ikiwa watu wanajua birthday yake ni May. Very soon anakua kichaa, maana kila kiki anayofanya huwa inafail.