fizzo 1
Member
- Oct 14, 2017
- 12
- 7
Sio wote wanafundisha DIT wanatoka UD mfano pale civil Kuna lecture Kasoma copperbelt university na bado darasa Zima la oil & gas engineering wanafundishwa na wazungu, hapo Hao unaosema wametoka UD masters, PhD Hawa kuchukua hapo UD na bado utambue DIT ilianza kabla ya coet jiulize Sasa walimu walikua wanatoka UD? Pia ukumbuke UD iliomba mtaala wakitambo hicho wakati DIT inaitwa DAR TECH ipo chini ya Wajerumani ile waweze kuanzisha hiyo coet,


