Pendo Julliet
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 243
- 324
DIT ilianzishwa special kwa ajili ya kuzalisha engineers na technician wabobezi ili kuziba gape la wataalamu wanaokosekana Tanzania na wale walokuwa wanazalishwa na vyuo vilotangulia kabla ya DIT kukosa skills kwenye soko la ajira huko nyuma UDSM walishawahi kuomba Engineering syllubus za kufundishia kutoka DIT na wanazitumia hadi leo unajua haya?Naona hatuelewani, DIT ni institute, UD ni University, kama waongea swala wanafunzi vs wanafunzi hayo mengine, ila nachojuwa DIT inafundishwa na walimu waliotoka UD..

