yeah,i read about it in dit web page kuwa kuna hadi fibre optic!But kaka,vp kuhusu vifaa katika course za telecom na comp?vpo vya kutosha?Je wanafunzi wakitoka hapo kiajira ni vipi?i mean kuingia katika compttn na waliotoka othr instt!Wanapromotion kwa wanaofanya vizur?