DIT VS COeT, UDSM!


hujui unalolisema. Jaribu kufuatilia kwa nini airtel na voda wana fight kuyapata majembe ya telecom udsm
 

Jionee mwenyewe nafasi ya UDSM mpaka January 2012!!
http://www.webometrics.info/images/fondo_webometrics_en.jpg

Nawasilisha!!
 
wapi ni pazuri kwa kusomea na usanifu katika kozi za uhandisi(Engineering)?
I mean mwanafunz akitoka anakuwa compitent!
Mostly kwa kozi za COMPUTER ENG and ELECTRONICS & TELECOM ENG for dit and COMP N IT ENG & TELECOM ENG for udsm,coet?

kwa mtazamo wangu kwanza kama bado hujajiunga na chuo usisome hizo kozi ulitaja hapo juu ..Jaribu kusoma kozi zifuatazo pale COET
Electrical or Electrical power Engineering
Civil Engineering yoyote.
Mechanical Engineering
Kumbuka nimetoa warning ya wewe kusoma hizo kozi ulizotaja hapo juu as far as Demand is concerned huku mtaani
For more details ni PM
 
wapi ni pazuri kwa kusomea na usanifu katika kozi za uhandisi(Engineering)?
I mean mwanafunz akitoka anakuwa compitent!
Mostly kwa kozi za COMPUTER ENG and ELECTRONICS & TELECOM ENG for dit and COMP N IT ENG & TELECOM ENG for udsm,coet?

By the way wengi wanao soma DIT at degree level ni wale walokosa criteria za kujiunga na UDSM!!! Trust me
 
mkuu ungejaribu kufafanua vzur kwa faida ya weng...n jst askn,, iv kuamia mfumo wa digital tv hakutafungua tena market ya telecomms
 

kimeshakuwa cha sita africa,yaani hakuna nairobi,makerer,nigeria wala cairo university,motowetu mkali check fact hiyo 2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
 

kimeshakuwa cha sita africa,yaani hakuna nairobi,makerer,nigeria wala cairo university,motowetu mkali check fact hiyo 2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
 
mzee noma kweli , kwanza heshima yako Asprin , mwenzako anauliza mahali pa kusomea ambapo akimaliza anapatwa na kazi haraka kwasababu anakua kaivishwa na chuo., mshahara mwenzako hawazi sanaaaa

Mkuu unaulizia penye mshahara mzuri au kwenye majengo yenye mvuto?

Raha ya kazi mshahara bana! Pesa sabuni ya roho!
 
Last edited by a moderator:
Nimasoma DIT naijua ndani na nje na feature ya chuo pia naipata, kwa mda huu kozi ambazo nzuri DIT ni Electrical, Mechanical na Civil Engineering , Ila Tellecom, Computer na zingine nenda mlimani na vyuo unavyo vijua. Ila DIT baada ya miaka miwili itakua nondo zaidi kwenye course zote za IT kutokana na programe iliyopo
 
Dogo nenda DIT,coet hamna kitu.
DIT ilikuwa zamani wakati inatoa Advanced Diploma kabla ya kuanzishwa BENG ndiyo ilikuwa inatoa wahandisi waliobobea katika nyanja zote practical na theory lakini siyo kwa sasa hivi DIT hamna kitu.Kwa ushauri wangu kama umefaulu vizuri nenda kasome Mlimani nikimaanisha University of Dar Es Salaam.Kwanza DIT siyo chuo kikuu ni chuo cha elimu ya juu tu ila Mlimani ni chuo kikuu na kina hadhi yake kama chuo kikuu huwezi kukilinganisha na DIT.
 
[h=3]MIT - Massachusetts Institute of Technology hii ni taasisi kama ilivyo DIT kwaiyo usiseme kwamba chuo kikuu hutoa
elimu bora kuliko taasisi hapo unajidangany mkuu, leo hii kuna mataifa yanalilia wanchi wao wakasome MIT na
sio Havard. Kuhusu DIT katika fani za Umeme , mitambo na Ujenzi bado zipo vizuri sana kuliko unavyo fikiriaria.[/h]

 
By the way wengi wanao soma DIT at degree level ni wale walokosa criteria za kujiunga na UDSM!!! Trust me
Wewe huna data.Siyo kwamba wanaosoma DIT walikosa pass za kujiunga na chuo kikuu udsm ni kutokana na masharti magumu waliyowekewa kwa wale waliopitia ordinary Diploma au FTC.masharti ya kujiunga UDSM ni magumu sana maana wanatakiwa wapate pass za A AU B katika masomo yote ya mtihani wa taifa wa mwisho na mojawapo ya somo analotakiwa kupata A au B lazima liwe Advanced Maths.Anaweza kupata A zote lakini akipata C katika Maths hatapata nafasi ya kujiunga na UDSM.Lakini mimi nasema huwezi kulinganisha chuo kikuu na taasisi ya elimu ya juu kama DIT.Chuo kikuu kitabaki kuwa chuo kikuu na kina hadhi yake kitaifa na kimataifa.
 
Kwa nini DIT isiitwe chuo kikuu?Ni kwamba haKIjafikia hiyo hadhi ya kuitwa chuo kikuu.Kwa hiyo chuo kikuu kiachwe kiitwe chuo kikuu na si kukilinganisha na vyuo ambavyo havijawa vyuo vikuu kama DIT.
 
kwanini MIT hakijaitwa chuo kikuu? unajua MIT ni cha ngapi kwa ubora Duniani.... unaelewa maana ya taasisi?

Kwa nini DIT isiitwe chuo kikuu?Ni kwamba haKIjafikia hiyo hadhi ya kuitwa chuo kikuu.Kwa hiyo chuo kikuu kiachwe kiitwe chuo kikuu na si kukilinganisha na vyuo ambavyo havijawa vyuo vikuu kama DIT.
 

asante kwa ufafanuz mkuuu ....this how great thinker comment on post.....
 
KENET swala la kusema wahadhiri wengi wanao fundisha DIT wametoka mlimani, si kweli nimesoma DIT naijua nje ndani walimu wa DIT wengi wao wamesoma hapohapo isipo kua fani ya Computer ndio wahadhiri wengi ni wa mlima.
 
Last edited by a moderator:
KENET swala la kusema wahadhiri wengi wanao fundisha DIT wametoka mlimani, si kweli nimesoma DIT naijua nje ndani walimu wa DIT wengi wao wamesoma hapohapo isipo kua fani ya Computer ndio wahadhiri wengi ni wa mlima.
Kijana umemaliza mwaka gani DIT?
 
Heshima yako Mzee Asprin ! ni mwaka mmoja toka nimemaliza DIT ! Vijana wa coet tunawakimbiza sana kwenye field za Mech, Elec na Civ.. Chini ya akina Dr. Utoh, Dr. Saanane, Dr. Kaena, Mzee Singo, Dr. Mgonja and many more ambao ni hatari hatari nina wakimbiza sana vijana kwenye site za kazi yani hawajui kitu... Kama na wewe ulisoma huko samahani lakini.
Kijana umemaliza mwaka gani DIT?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…