acha kumdanganya dogo pale hizo gpa ni kwa sababu mnameza sana ila technical fitness hamna kitu kabisa..kuna jamaa sec year kapata gpa 4.9 computer eng ila hata kuformat computer hajui kabisa mda mwingi watoto wa coict utawakuta facebook na kusoma ila mfumo wao mbovu,dogo uamuzi ni wako maisha ni yako fanya uamuzi sahihi.
hujui unalolisema. Jaribu kufuatilia kwa nini airtel na voda wana fight kuyapata majembe ya telecom udsm
ua ryt kaka bt kumbuka dit ni kama college,i mean unaweza ukalinganisha na coet udsm na wanatoa koz za uhandisi wote bt ukitaka kuongelea udsm huwez linganisha na dit..udsm ni chuo cha 15 africa na 1032 dunia bt dit haimo kabisa!
Interest yang ni ktk koz za uhandis nchni c udsm kama udsm datz y nkamention coet tu!
wapi ni pazuri kwa kusomea na usanifu katika kozi za uhandisi(Engineering)?
I mean mwanafunz akitoka anakuwa compitent!
Mostly kwa kozi za COMPUTER ENG and ELECTRONICS & TELECOM ENG for dit and COMP N IT ENG & TELECOM ENG for udsm,coet?
wapi ni pazuri kwa kusomea na usanifu katika kozi za uhandisi(Engineering)?
I mean mwanafunz akitoka anakuwa compitent!
Mostly kwa kozi za COMPUTER ENG and ELECTRONICS & TELECOM ENG for dit and COMP N IT ENG & TELECOM ENG for udsm,coet?
mkuu ungejaribu kufafanua vzur kwa faida ya weng...n jst askn,, iv kuamia mfumo wa digital tv hakutafungua tena market ya telecommskwa mtazamo wangu kwanza kama bado hujajiunga na chuo usisome hizo kozi ulitaja hapo juu ..Jaribu kusoma kozi zifuatazo pale COET
Electrical or Electrical power Engineering
Civil Engineering yoyote.
Mechanical Engineering
Kumbuka nimetoa warning ya wewe kusoma hizo kozi ulizotaja hapo juu as far as Demand is concerned huku mtaani
For more details ni PM
ua ryt kaka bt kumbuka dit ni kama college,i mean unaweza ukalinganisha na coet udsm na wanatoa koz za uhandisi wote bt ukitaka kuongelea udsm huwez linganisha na dit..udsm ni chuo cha 15 africa na 1032 dunia bt dit haimo kabisa!
Interest yang ni ktk koz za uhandis nchni c udsm kama udsm datz y nkamention coet tu!
ua ryt kaka bt kumbuka dit ni kama college,i mean unaweza ukalinganisha na coet udsm na wanatoa koz za uhandisi wote bt ukitaka kuongelea udsm huwez linganisha na dit..udsm ni chuo cha 15 africa na 1032 dunia bt dit haimo kabisa!
Interest yang ni ktk koz za uhandis nchni c udsm kama udsm datz y nkamention coet tu!
kimeshakuwa cha sita africa,yaani hakuna nairobi,makerer,nigeria wala cairo university,motowetu mkali check fact hiyo 2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Mkuu unaulizia penye mshahara mzuri au kwenye majengo yenye mvuto?
Raha ya kazi mshahara bana! Pesa sabuni ya roho!
DIT ilikuwa zamani wakati inatoa Advanced Diploma kabla ya kuanzishwa BENG ndiyo ilikuwa inatoa wahandisi waliobobea katika nyanja zote practical na theory lakini siyo kwa sasa hivi DIT hamna kitu.Kwa ushauri wangu kama umefaulu vizuri nenda kasome Mlimani nikimaanisha University of Dar Es Salaam.Kwanza DIT siyo chuo kikuu ni chuo cha elimu ya juu tu ila Mlimani ni chuo kikuu na kina hadhi yake kama chuo kikuu huwezi kukilinganisha na DIT.Dogo nenda DIT,coet hamna kitu.
DIT ilikuwa zamani wakati inatoa Advanced Diploma kabla ya kuanzishwa BENG ndiyo ilikuwa inatoa wahandisi waliobobea katika nyanja zote practical na theory lakini siyo kwa sasa hivi DIT hamna kitu.Kwa ushauri wangu kama umefaulu vizuri nenda kasome Mlimani nikimaanisha University of Dar Es Salaam.Kwanza DIT siyo chuo kikuu ni chuo cha elimu ya juu tu ila Mlimani ni chuo kikuu na kina hadhi yake kama chuo kikuu huwezi kukilinganisha na DIT.
Wewe huna data.Siyo kwamba wanaosoma DIT walikosa pass za kujiunga na chuo kikuu udsm ni kutokana na masharti magumu waliyowekewa kwa wale waliopitia ordinary Diploma au FTC.masharti ya kujiunga UDSM ni magumu sana maana wanatakiwa wapate pass za A AU B katika masomo yote ya mtihani wa taifa wa mwisho na mojawapo ya somo analotakiwa kupata A au B lazima liwe Advanced Maths.Anaweza kupata A zote lakini akipata C katika Maths hatapata nafasi ya kujiunga na UDSM.Lakini mimi nasema huwezi kulinganisha chuo kikuu na taasisi ya elimu ya juu kama DIT.Chuo kikuu kitabaki kuwa chuo kikuu na kina hadhi yake kitaifa na kimataifa.By the way wengi wanao soma DIT at degree level ni wale walokosa criteria za kujiunga na UDSM!!! Trust me
Kwa nini DIT isiitwe chuo kikuu?Ni kwamba haKIjafikia hiyo hadhi ya kuitwa chuo kikuu.Kwa hiyo chuo kikuu kiachwe kiitwe chuo kikuu na si kukilinganisha na vyuo ambavyo havijawa vyuo vikuu kama DIT.MIT - Massachusetts Institute of Technology hii ni taasisi kama ilivyo DIT kwaiyo usiseme kwamba chuo kikuu hutoa
elimu bora kuliko taasisi hapo unajidangany mkuu, leo hii kuna mataifa yanalilia wanchi wao wakasome MIT na
sio Havard. Kuhusu DIT katika fani za Umeme , mitambo na Ujenzi bado zipo vizuri sana kuliko unavyo fikiriaria.
Kwa nini DIT isiitwe chuo kikuu?Ni kwamba haKIjafikia hiyo hadhi ya kuitwa chuo kikuu.Kwa hiyo chuo kikuu kiachwe kiitwe chuo kikuu na si kukilinganisha na vyuo ambavyo havijawa vyuo vikuu kama DIT.
Wewe huna data.Siyo kwamba wanaosoma DIT walikosa pass za kujiunga na chuo kikuu udsm ni kutokana na masharti magumu waliyowekewa kwa wale waliopitia ordinary Diploma au FTC.masharti ya kujiunga UDSM ni magumu sana maana wanatakiwa wapate pass za A AU B katika masomo yote ya mtihani wa taifa wa mwisho na mojawapo ya somo analotakiwa kupata A au B lazima liwe Advanced Maths.Anaweza kupata A zote lakini akipata C katika Maths hatapata nafasi ya kujiunga na UDSM.Lakini mimi nasema huwezi kulinganisha chuo kikuu na taasisi ya elimu ya juu kama DIT.Chuo kikuu kitabaki kuwa chuo kikuu na kina hadhi yake kitaifa na kimataifa.
Kijana umemaliza mwaka gani DIT?