Diss Tracks: Rapcha vs Dizasta Vina

Diss Tracks: Rapcha vs Dizasta Vina

Hii diss unaionaje lakini? Bifu ni sehemu ya hiphop
Hii sio bifu ni changamsha genge kila sehemu ipo, genge halilali lazima kuchangamke huyu kampiga huyu spana life goes on akibeba title anaitwa mwingine hivyo hivyo kusipoe

PMawenge v Disasta Vina

Litakufa Jitu,
Nampa PMawenge wewe unampa nani?
 
Raptcha - Nyuklea Story anasema

99 wasiomjua huyu trash/
Jina lake la kwanza ni Pussy/
Ongeza na F.............

Airtime yote niliyokupa uki-flop/
Nakutia na makofi kwa F.... (Ineedtorelax)

😂 Nimecheka KISENGEVINKISENGEVINA kumamamake yaan Raptcha huu mstari kamtikana vibaya Jamaa hii ni bomu

Bwana Disasta asipojibu itadhihirisha jinsi gani yeye ni Pussy who get facked by anybody,
 
Raptcha - Nyuklea Story anasema

99 wasiomjua huyu trash/
Jina lake la kwanza ni Pussy/
Ongeza na F.............

Airtime yote niliyokupa uki-flop/
Nakutia na makofi kwa F.... (Ineedtorelax)

Nimecheka KISENGEVINKISENGEVINA kumamamake yaan Raptcha huu mstari kamtikana vibaya Jamaa hii ni bomu

Bwana Disasta asipojibu itadhihirisha jinsi gani yeye ni Pussy who get facked by anybody,
Kunitaja sio ujasiri hiyo ni suicide #dizasta


 
Kunitaja sio ujasiri hiyo ni suicide #dizasta


Napiga chata kwenye wavu haha mimi ni Pele/
Baba Saka saka unachosaka uwahishe hilo tembele/
Jirani waya mkali wahi uone wanavyokula na kengele/

Na huyo ni nani ? Usiniambie ni yule muandishi wa part part part part

Search.......
 
Kinachotokea kwa Disasta na Rapcha, ni marudio ya Eminem na MGK.

MGK alionywa mapema kabisa. 50 cents akamwambia "nice song, but you're messing with the wrong guy". Ndicho kilichotokea. Eminem hakujali beats zenye mvuto, wala flow ya kuremba, he just destroyed MGK Lyrically!

Naona pia ndicho alichokifanya Disasta kwenye best friend. Yeye amejikita kwenye mashairi na content, habari ya beats na flow kamuachia dogo ahangaike nazo mwenyewe.

Sidhani kama Disasta atajibu hii diss ya pili. Sioni kama ni battle ya level yake. Itakua kama Tyson Furry kuvimbiana na Mandonga, it's a waste of time!

Fair battle kwa Disasta ni atakapopambana na na MC's design ya One the incredible au P Mawenge. Hapo lolote laweza kumkuta. Rapcha ni level za akina Lunya na Motra.

Simshauri Disasta kujibu tena diss za huyo dogo!
Nakubaliana na wewe
 
Tunahitaji dissbtrack nyingi kama hizi uhai wa hip hop bongo urudi

Tumechoka kusikikiza mnanda, mchiriku, makelele ya kinigeria, na zile staili za uswazi.

Tunataka michano yenye akili na flows zinazonata na bit.
 
Dizasta Kajibu tena wakuu katupa Jiwe linaitwa TRIBULATIONS hatari unusu

Cc Moderator ninadirishie heading isomeke DIZASTA VS RAPCHA
Bora hii kajitahidi kuteleza na vina, na beat ime-settle

Raptch it's your turn now shusha vyuma jamaa kakuchana kachana chana mpaka mama yako na kizazi chake kwamba hukustahiri kuzaliwa angelipia mama yako atoe abortion usizaliwe kabisa na dada yako kampasukia humo dakika 11, this time yaan zoote katembea nazo tunahitaji bomu lingine mzee, hakuna kutupa taulo chini hapo na wewe mchane chane achanike
 
Dr Dre ft Snoop Dogg - Still

Nasikiliza beat hilo mda huu

02:30
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom