Disk langu limekuwa hivi msaada plizi

Miaka mi3,soln yake ni ipi hapo maana iliopo ni Kama robo tu
Kwa upande wangu ninavyoona
1. Hard drive itakuwa imetumika muda mrefu (kama ulinunua used) kwa hiyo inapoteza uwezo polepole.
2. Kuna partition ilicorrupt, kwa hiyo inakuwa imepungua space yake.
3. Hard drive ni ya ubora wa kiwango kidogo. Siku hizi pia kuna hard drives nyingi tu hazina ubora kwa hiyo huwa zinakufa kwa style hii, nyingine itakuandikia 0bytes ikishafika stage hii. Yaani hard drive nyingi siku hizi ukitumia kidogo utakutana matatizo kama hayo, kwa hiyo kupoteza data inatomea sana kama hukuwa na backup ya data zako.
 
Hio namba 2
 
Hio namba 2
Sawa mkuu kwa hiyo ni muhimu pia kuangalia errors kwenye hard drive yako na kuzifix, maana error mara nyingi ndiyo zinapelekea kucorrupt kwa data, partition, hard drive nzima au vyote kwa pamoja.
 
Ingia getintopc au telegram download crack version ya aomei partition then angalia how to install it install then itakupa size iliyobaki kwa disk yako
 
Hard disk langu lilikuwa 3Tb sijui wakati wa kuformat nimebonyeza wapi limebaki 746Gb .
Naombeni mwenye ujuzi anisaidie jinsi ya kuurudisha volume yake halisi

746 GB haitoshi? Unataka kuweka mtoto wako huko ndani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…