Wadau nauliza kuhusu receiver za dishi kubwa unaweza kutumia kwenye uelekeo wa dish ndogo za Azam na nyinginezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hujui umefuata nini? ngoja tusubiri wajuvi waje. ishhh namimi kumbe nimechangia na sijui lolote.wasubiri wajuvi waje.
Ndio unaweza,kwani kwenye uelekeo wa azam unataka kukamata sat gani,maana uelekeo huo kuna sat nyingi tu,mfano nilesat iko uelekeo wa azamWadau nauliza kuhusu receiver za dishi kubwa unaweza kutumia kwenye uelekeo wa dish ndogo za Azam na nyinginezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelekeo mwengine ilikuwa intel sat 906 nataka frequency mpya Kwa muelekeo wa azamNdio unaweza,kwani kwenye uelekeo wa azam unataka kukamata sat gani,maana uelekeo huo kuna sat nyingi tu,mfano nilesat iko uelekeo wa azam
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]