PongLenis
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 427
- 133
wanabodi habari yenu! mimi ni mgeni kabisa katika haya maswala ya dish naomba mniweke sawa kidogo nina maswali yafuatayo katika huu ulimwengu wa FTA
1 ) what is KU Band na C band ...?
2) Je kuna dish ambazo zinadaka moja ya hizo tajwa hapo juu kwa pamoja..?
3) Je size ya dish ni muhimu ." does the size matters"
4) Dish ukubwa gani mnanishauri ni nunue .. targets yangu sio channels za kibongo ... sina mzuka nazo...
5) Je nikitaka mawimbi ya astra naweza kuyapata tzn!
Mwisho - natoa ushauri kwa mods waweke sticky topic inayozungumzia maswala ya ving'amuzi na ulimwengu mzima wa FTA ... ikiwezekana kupeana mautundu kidogo maana watanzania tulio wengi tulizoea antena chadema zile haya mambo ya madish ni mapya!
Invisible naomba uufanyie kazi huu ushauri please
1 ) what is KU Band na C band ...?
2) Je kuna dish ambazo zinadaka moja ya hizo tajwa hapo juu kwa pamoja..?
3) Je size ya dish ni muhimu ." does the size matters"
4) Dish ukubwa gani mnanishauri ni nunue .. targets yangu sio channels za kibongo ... sina mzuka nazo...
5) Je nikitaka mawimbi ya astra naweza kuyapata tzn!
Mwisho - natoa ushauri kwa mods waweke sticky topic inayozungumzia maswala ya ving'amuzi na ulimwengu mzima wa FTA ... ikiwezekana kupeana mautundu kidogo maana watanzania tulio wengi tulizoea antena chadema zile haya mambo ya madish ni mapya!
Invisible naomba uufanyie kazi huu ushauri please