Disgraced Pastor Haggard admits second relationship

Nadhani tunalumbana bure tu kuhusu hii kachfa ya Mchungaji. Kama imefanyika zamani au jana hoja ni kuwa Mchungaji alipotoka na kuidhalilisha Imani ya Kikristo. Kitu muhimu hapa ni kuwa Mtumishi amekiri juu ya dhambi zake na upotovu wake.

Hata hivyo tukumbuke maneno ya Yesu Kristo juu ya Manabii wa Uongoaliposema: Jihadharini na Manabii wa Uongo wanowajia wakivaa ngozi ya kondoo wakati ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao... si kila aniitaye BWANA, BWANA ataingia ufalme wa Mungu...Matayo 7: 15-16; 21..(sisemi kuwa huyu Mchungaji ni Nabii wa Uongo- huenda Kristo amemsamehe dhambi zake maana amekiri na lbda ametubu pia).

Nachotaka kusema hapa, haijalishi kuwa ni Mchungaji, Nabii, Mtume, au Mlei, KITU MUHIMU NI KUWA KRISTO AMETUFUNDIHA NINI? NA CHARACTERISTICS ZA KRISTO MWENYEWE ZINAFANANA NA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME HUYO? Muhimu ni ...tutawatambua kwa matunda yao (matendo)

AMINA Mtumishi Ibrah..

Baada ya haya maneno yenye HIKMA KUBWA , tunaomba MODS wai-scrape hii thread mjinga.

Shukran.
 
Tony Alamo child pornography

On September 20, 2008, FBI agents raided Tony Alamo Christian Ministries headquarters as part of a child pornography investigation. This investigation involved allegations of physical abuse, sexual abuse and allegations of polygamy and underage marriage. According to Terry Purvis, mayor of Fouke, Arkansas, his office has received complaints from former ministry members about allegations of child abuse, sexual abuse and polygamy since the ministry established itself in the area, and in turn, Purvis turned over information about the allegations to the FBI. Investigators at the scene plan to conduct a search of ministry headquarters and the home of Alamo and interview children present on the compound.

click here for more news -Tony Alamo child pornography
 
Nadhani tunalumbana bure tu kuhusu hii kachfa ya Mchungaji. Kama imefanyika zamani au jana hoja ni kuwa Mchungaji alipotoka na kuidhalilisha Imani ya Kikristo. Kitu muhimu hapa ni kuwa Mtumishi amekiri juu ya dhambi zake na upotovu wake.

Hata hivyo tukumbuke maneno ya Yesu Kristo juu ya Manabii wa Uongoaliposema: Jihadharini na Manabii wa Uongo wanowajia wakivaa ngozi ya kondoo wakati ndani ni mbwa mwitu wakali, mtawatambua kwa matunda yao... si kila aniitaye BWANA, BWANA ataingia ufalme wa Mungu...Matayo 7: 15-16; 21..(sisemi kuwa huyu Mchungaji ni Nabii wa Uongo- huenda Kristo amemsamehe dhambi zake maana amekiri na lbda ametubu pia).

Nachotaka kusema hapa, haijalishi kuwa ni Mchungaji, Nabii, Mtume, au Mlei, KITU MUHIMU NI KUWA KRISTO AMETUFUNDIHA NINI? NA CHARACTERISTICS ZA KRISTO MWENYEWE ZINAFANANA NA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME HUYO? Muhimu ni ...tutawatambua kwa matunda yao (matendo)

If a man commit adultery with the wife of his neighbor, both the adulterer and the adulteress shall be put to death.
Leviticus 20:10

Let's look at the root of Christianity: the bible. I don't accept the Bible as a moral guide because it sanctions lying and deception. In many cases, lying is commanded by God, or God himself makes people lie. In other cases, liars go unpunished, or are even rewarded.

"And the Lord said, Who shall persuade Ahab that he may go up and fall at Ramoth-gilead? And one said on this manner, and another said on that manner. And there came forth a spirit and stood before the Lord, and said, I will persuade him. And the Lord said unto him, Where with? And he said, I will go forth, and I will be a lying spirit in the mouth of all his prophets. And he said, Thou shalt persuade him, and prevail also; go forth and do so. Now therefore, behold the Lord hath put a lying spirit in the mouth of all these, thy prophets." (1 Kings 22:20-23)


Click here for more... Lying For god And Other christian Teachings
 
Back
Top Bottom