AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
kwa mtindo huu huwezi kuiona mkuu .....cha msingi ponda mali kufa kwaja meeeeeeeeeeeen-kwa nini nisherehekee miaka 50 ya nchi ambayo haipo? Hii inamaanusha kuwa upstairs hakupo sawa tunabebwa bebwa tu.
-nchi inarudi nyuma badala ya kwenda mbele,Mungu alitupa rasilimali zote..hii ni nchi ya asali na maziwa ..kwa nini wananchi wake wote wana suffer?(except wakubwa na ndugu zao)
-miaka 50 tumeshindwa kujipanga kuanzia umeme wa uhakika barabara na maji safi na salama.wazungu wameshatengeneza technology zote ..wamefikiria kila kitu na kuumiza vichwa vyao sisi kazi yetu ni ku import kile kitu ambacho kipo ready for use ..lakini hadi hili tumeshinda.
-ajira nyingi wanapewa wageni eti wazawa ni wezi wanaiba(jk alishasema hili kama hamjui) tatizo ni nini? Kama ni elimu duni nani anahusika kuimarisha hio elimu ili tutoe changamoto kwenye ajira mabli mbali chini?
Sioni mantiki ya kushangilia uhuru hewa..wala sitaki kusikia au kuona hio sherehe yenu..mmenikera kweli leo na mafataki yenu .
Hakuna mantiki ya kusherehekea uhuru hewa:
pesa makaratasi hasara roho babuuuuuuuuuu