jmdume45
Senior Member
- Jun 10, 2016
- 162
- 67
Na ulivosema wewe ni mwanafunzi wa chuo, huu uandishi mpaka aibu naona mimi. Weka japo aya mkuu, unaweza kuwa na mawazo mazuri ila uandishi wako utazuia hadhira kupata ulichokusudia kusema.
Na ulivosema wewe ni mwanafunzi wa chuo, huu uandishi mpaka aibu naona mimi. Weka japo aya mkuu, unaweza kuwa na mawazo mazuri ila uandishi wako utazuia hadhira kupata ulichokusudia kusema.
Kavurugwa Huyo msamehe bureNa ulivosema wewe ni mwanafunzi wa chuo, huu uandishi mpaka aibu naona mimi. Weka japo aya mkuu, unaweza kuwa na mawazo mazuri ila uandishi wako utazuia hadhira kupata ulichokusudia kusema.
okay nimekusoma ahsante kwa ushauri wakoUnavumilia ujinga gani huo?Bibie anakufanyia mambo ya ajabu kama hayo na bado unavumilia kwa kuwa unapata kitu gani ambacho hautapata kwa mwingine?
Inachosha kusoma.Na ulivosema wewe ni mwanafunzi wa chuo, huu uandishi mpaka aibu naona mimi. Weka japo aya mkuu, unaweza kuwa na mawazo mazuri ila uandishi wako utazuia hadhira kupata ulichokusudia kusema.
pamoja sana kaka nimekusomaShika sana kitabu mkuu
Kabisa, mimi sijaweza kabisa hata mistari 3Inachosha kusoma.
....Ambapo!Ambapo huyo mama anakuzingua, ambapo ww hujashtuka, ambapo unaweza kupata mmoja wa hao watoto wa CBE.
Ambapo ukiona haya mambo yanakupeleka kasi, unaweza kuyapisha kwa muda, kama mm ambapo nasubiri 2017 ndo nianze kutongoza.