Filomena
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 295
- 120
When you are in LOVE you can't fall asleep because reality is better than your dreams. Maintain the same attitude Bro.
Lv the song.......
Last edited by a moderator:
When you are in LOVE you can't fall asleep because reality is better than your dreams. Maintain the same attitude Bro.
Simu kila kitu changu lazima kiwe na password kali. Screen password na service passwords. Sometimes na share passwords na mke wangu lakini kutokana na mi password yangu kuwa complicated na ina badilika kila baada ya muda ameshindwa kwenda na hii situation.
Ingawa wakati wowote aki akitaka ku access namfungulia anaendelea.
Kwangu password ni muhimu kwa watu wa nje. Simu ndo kila kitu sasa. Unauthorised access yaweza kuleta nadhara makubwa. Imagine simu imeibiwa halafu iko uchi...watu wanaona kila kitu chako, dili zako kwenye email,sms picha n.k. please nasisitiza wekeni password kwenye simu
Ukitaka kukorofishana na demu wako mwambie leo naenda kazini na simu yako na ww chukua simu yangu!Niliwahi tukanwa hadi jina la Mama yangu la utotoni ahahahaha!
Maskini kumbe wala hakujua kama namtania tu maana mm mwenyewe pia kimeo!
Na PM unatumia pc yenye chogo?
inabidi kuweka pw hadi kwenye charger hehehe.
cheating is a project aisee
the only solution for this ni kubaki njia kuu michepuko sio dili .hakuna haja ya kuwa na password