Dirty secrets behind your cellular phone

Dirty secrets behind your cellular phone

Simu kila kitu changu lazima kiwe na password kali. Screen password na service passwords. Sometimes na share passwords na mke wangu lakini kutokana na mi password yangu kuwa complicated na ina badilika kila baada ya muda ameshindwa kwenda na hii situation.

Ingawa wakati wowote aki akitaka ku access namfungulia anaendelea.

Kwangu password ni muhimu kwa watu wa nje. Simu ndo kila kitu sasa. Unauthorised access yaweza kuleta nadhara makubwa. Imagine simu imeibiwa halafu iko uchi...watu wanaona kila kitu chako, dili zako kwenye email,sms picha n.k. please nasisitiza wekeni password kwenye simu
 
Sidhani kama kuna Passwords ambazo mamii hajui, kasoro ya bank tuuu! Yupo huru na simu yangu kama yake vile na sioni tatizo kwa kuwa natumia highway only. Mara moja moja huwa nashika simu yake na hana tatizo. It's a matter of trust only.

Huwezi kuamini mimi huwa mke wangu anazo password zote mpk za benki, at any time akitaka kufanya kitu chochote anafanya, hata km anashida yoyote ile na mimi cpo anachukua pesa km kawaida nikirudi ananiambia!
 
Ukitaka kukorofishana na demu wako mwambie leo naenda kazini na simu yako na ww chukua simu yangu!Niliwahi tukanwa hadi jina la Mama yangu la utotoni ahahahaha!

Maskini kumbe wala hakujua kama namtania tu maana mm mwenyewe pia kimeo!
 
mkuu BAK kuna kitu inaitwa PM...hadi room number tunamalizia hukuhuku simu haihusiki kabisa.

hahahahahaha! umenichekesha sana, ikitokea amepata dharura wakati anakuja kwako????? au ndo utachomeshwa mahindi weeee!!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
mkuu BAK kuna kitu inaitwa PM...hadi room number tunamalizia hukuhuku simu haihusiki kabisa.

Daaahh kumbee kuna hii njia ndo maana husband sku hz huwa anasahau simu zake mara kwa,mara home au kwenye gari akiniaminisha hana michepuko kumbe laptop na jf inamaliza kilakitu looh. Asante kwa taarifa ntaifanyia kazi hii nione mwisho wake.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mentor this article has nothing to do with JF members. On top of that JF's population is a very small percentage as compared to Tanzania's population of those who are dating or in marriage.



mkuu BAK kuna kitu inaitwa PM...hadi room number tunamalizia hukuhuku simu haihusiki kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh! hahahahah lol!!!! Naona unamkaribia Prophet Temitope Balogun Joshua kwa utabiri 🙂🙂🙂
Mambo yote hii kitu banaaaa!!!! Na hizi foleni za Dar ukifika mahali kuna foleni ya kufa mtu basi unakiweka begani kigari chako na kuendelea na safari yako.





Mmmhhhh!!! Napata picha ya land cruiser hard top.....
 
Kwi kwi kwi kwi hahahahaha lol!!!!! Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba.

Ukitaka kukorofishana na demu wako mwambie leo naenda kazini na simu yako na ww chukua simu yangu!Niliwahi tukanwa hadi jina la Mama yangu la utotoni ahahahaha!

Maskini kumbe wala hakujua kama namtania tu maana mm mwenyewe pia kimeo!
 
hahahahahaha! umenichekesha sana, ikitokea amepata dharura wakati anakuja kwako????? au ndo utachomeshwa mahindi weeee!!!!

lol inakuwa just like the good old days of high school holiday season meetings under the mango tree at 4pm..damn...them good old days!!!
 
Back
Top Bottom