Kwa wale 2naofuatilia ligi za uropa 2naelewa ni nini kinaendelea wakati huu! Mojawapo ya sababu kubwa iliyosababisha chadema kukosa viti vingi vya ubunge na udiwani ni kukosa watu makini wa kugombea sehemu mbalimbali! Kwa mfano katika kata ya lizaboni mjini songea watu wameichoka sana ccm,but chadema wakamsimamisha mtu ambaye ni maarufu kwa kunywa pombe za kienyeji na kumpiga mkewe,jamaa ana sifa mbaya sana mitaani ikasababisha watu washindwe kumpigia kura!! Wakati barca,man utd wanahangaika na akina fabrigas,sneider,nasri.... Nawaombeni sana chadema wakati huu kuelekea 2015 ndio muda wa kuhangaika kuwasajili maluteni,kaptein,major,luteni kanali, makanali wastaafu wa jeshi kuongeza kikosi, ndio wakati wa kuwasajili wahadhiri wa vyuo vikuu hata kama ni wa vyuo binafsi kama wamagamba wanawabania wa vyuo vyao vya serikali! What about mapolisi and askari magereza maafisa wastaafu,walimu wa sekondari wastaafu na walio kazini, mamanagers wa sehemu mbalimbali! Si kwamba 2nawabagua watu flan,but dunia imeprove kuwa watu wenye uelewa mkubwa na influence ndio chachu ya mabadiliko! Kama vipi mkamateni mwandosya kabisa, si dau tu jamani!! Kama madrid wanaweza kwa nini nyinyi mshindwe! Fanyeni usajili wazee ili muwazike kabisa magamba! Me nawasubiri,watu wanawasubiri!!!