Mkuu kuna dogo najaribu kumuombe ila ikifika sehemu ya kucgagua profesional hata ukiklik inajirudia pale pale shida itakya nini
Mpaka muda huu, nimeshawasaidia madogo 5 ku-apply
Mpaka muda huu, nimeshawasaidia madogo 5 ku-apply
Ipige picha na itume hapa hapo inapokwama nikuelekezeMkuu kuna dogo najaribu kumuombe ila ikifika sehemu ya kucgagua profesional hata ukiklik inajirudia pale pale shida itakya nini
Ndio yote yanawazekana tatizo ni ushindani wa vyuo utakavyochaguaKama ana C mbili na Zilizobaki D , anaweza pata ?
Na wale walio resist ?
Tupeane mawazo