Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,526
Habari..!!
Kwa mujibu wa tangazo la HESLB limeonesha kuwa kuanzia leo wametoa fursa kwa waombaji kurekebisha taarifa zao. Binafsi nilitumia partial transcription na sasa ninayo full ila sijapata information yoyote naona naambiwa siwezi kuedit wa kuchange kitu chochote.
Kwa yeyote aliyepata information kwenye account yako naomba atuwekee hapa, imeandikwaje ili tujue. Na kama halo ndo iko hivi kwenye account vyangu INA maana siwezi kuattach tena full transcript niliyopata?
View attachment 1586984
Kwa mujibu wa tangazo la HESLB limeonesha kuwa kuanzia leo wametoa fursa kwa waombaji kurekebisha taarifa zao. Binafsi nilitumia partial transcription na sasa ninayo full ila sijapata information yoyote naona naambiwa siwezi kuedit wa kuchange kitu chochote.
Kwa yeyote aliyepata information kwenye account yako naomba atuwekee hapa, imeandikwaje ili tujue. Na kama halo ndo iko hivi kwenye account vyangu INA maana siwezi kuattach tena full transcript niliyopata?
View attachment 1586984