Dirisha la aluminium 5 kwa 4 bei gani

Dirisha la aluminium 5 kwa 4 bei gani

Dah nyumba ipo poa Sana, mkuu sambaza upendo unipatie hiyo ramani [emoji120]
 
Dah si mchezo na usawa huu wa Magu!? Anyway nijaalie tu hiyo ramani nijifikirie
Usijali kiongozi, tatizo niliweka mbwembwe ,ina vyumba 4 na vyote master na nyumba vingine kama study room, dining,,store, play room, kitchen na public toilets kwa hiyo imechukua tofari nyingi sana.
Ijapo ni tambalale eneo la kiwanja ila msingi toka chini ni stap 7 na mkanda wa 8..
 
Nyumba ina kona nyingi sana na itakuwa imekugharimu pesa nyingi bila sababu,
 
Usijali kiongozi, tatizo niliweka mbwembwe ,ina vyumba 4 na vyote master na nyumba vingine kama study room, dining,,store, play room, kitchen na public toilets kwa hiyo imechukua tofari nyingi sana.
Ijapo ni tambalale eneo la kiwanja ila msingi toka chini ni stap 7 na mkanda wa 8..
Vipi jengo limekava square mita ngapi?
 
Tunaongea mkuu usiogope
Hivi kwanini huwa hamtaji bei fixed? Mpaka uanzie juu why? MTU akitaka kwenda kwingine ndo unaanza kusema njoo tuongee.Mie kwenye kazi za uhakika huwa napenda bei fixed.Hizi za kupunguziana huwa naona kama naibiwa
 
Back
Top Bottom