Mimi nipo Tabata Baracuda.. Kwanza hongera kwa hatua uliyofikia..! Maliza kwanza plast, plambaring, sytem ya maji safi na taka na wiring , then tuwasilianeMbweni mkuu
Mimi nipo Tabata Baracuda.. Kwanza hongera kwa hatua uliyofikia..! Maliza kwanza plast, plambaring, sytem ya maji safi na taka na wiring , then tuwasilianeMbweni mkuu
Mkuu upande wa grill naomba kazi km upo dar mm npo kimaraa 0715811310Hahahhah kweli kabisa ila hapo natafuta nguvu ya grill na madilisha hayo ya Alminium
Barikiwa mnooHongera nimeipenda nyumb yako
Vyote hivyo tayari na zaidi ya hapoMimi nipo Tabata Baracuda.. Kwanza hongera kwa hatua uliyofikia..! Maliza kwanza plast, plambaring, sytem ya maji safi na taka na wiring , then tuwasiliane
Mkuu gril nimeweka mda mrefu, usijali Mungu akijalia tunaweza kujenga nyingineMkuu upande wa grill naomba kazi km upo dar mm npo kimaraa 0715811310
Bado sijaoa, ila ipo sikuHongera sana kwa hatua hiyo. Sasa raha ya nyumba ipate mwanamke na watoto watunxaji ndo utaipenda.
Sasa mambo ya mke usawa huu nani anataka pressureHongera sana kwa hatua hiyo. Sasa raha ya nyumba ipate mwanamke na watoto watunxaji ndo utaipenda.
Hapana, nakataa hiyoSasa mambo ya mke usawa huu nani anataka pressure
Hakuna kitu kizuri kama kuwa na Rafiki tu ili ikiisumbua hakuna ushahidi wala wazee
Unakataa nini sasa mkuuHapana, nakataa hiyo
Wewe ni mtumishi wa serikali au mfanyabiashara?Mkuu gril nimeweka mda mrefu, usijali Mungu akijalia tunaweza kujenga nyingine
Mkuu vp kwaniWewe ni mtumishi wa serikali au mfanyabiashara?
Mkuu usijali, maombi yako yatatimia[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
Nimeuliza tu ili nikupenyezee kaushauri ka bure bosiMkuu vp kwani
mi niko kampuni binafsiNimeuliza tu ili nikupenyezee kaushauri ka bure bosi
aisee kuna nn mkuu.mi niko kampuni binafsi
Hakuna ishuaisee kuna nn mkuu.
Pamoja mkuuMkuu gril nimeweka mda mrefu, usijali Mungu akijalia tunaweza kujenga nyingine
Ok pamoja sana kakaMimi nipo Tabata Baracuda.. Kwanza hongera kwa hatua uliyofikia..! Maliza kwanza plast, plambaring, sytem ya maji safi na taka na wiring , then tuwasiliane