Mkuu asante, ila bajeti yangu haitoshi maana nina dirisha nyingiLaki mbili na thelathin ,nipe hyo kazi mkuu
0654865376,nichekMkuu asante, ila bajeti yangu haitoshi maana nina dirisha nyingi
ntakucheki mkuu0654865376,nichek
Ila sio kwa bei hiyo0654865376,nichek
Ngoja nije pm180,000/
Njoo inbox nakufanyia na Emirates , sio aluminium za kijinga!
Tunaongea mkuu usiogopeIla sio kwa bei hiyo
Hakuna tabuTunaongea mkuu usiogope
180,000/
Njoo inbox nakufanyia na Emirates , sio aluminium za kijinga!
Sorry nipe na mimi bei hapa
8x6
6x4
6x5
3x4
![]()
![]()
![]()
Hongera Mkuu, mwenye nyumba akikuletea za kuleta piga grill madirisha na milango yote (security) weka nyavu za mbu halafu hamia, mimi ndivyo nilivyofanya na kumshangaza eti anapandisha kodi by then from 100,000/= hadi 150,000/= bila sababu hakuaminiSorry nipe na mimi bei hapa
8x6
6x4
6x5
3x4
2x4
Na kwa faida ya wengine nipe bei hapa
![]()
Hahahhah kweli kabisa ila hapo natafuta nguvu ya grill na madilisha hayo ya AlminiumHongera Mkuu, mwenye nyumba akikuletea za kuleta piga grill madirisha na milango yote (security) weka nyavu za mbu halafu hamia, mimi ndivyo nilivyofanya na kumshangaza eti anapandisha kodi by then from 100,000/= hadi 150,000/= bila sababu hakuamini
Bati 167 ila lazima uwe na moyo wa chuma vipande vingi sana,unaweza piga ngumi fundiMkuu ulitumia Bati ngapi?
Mbweni mkuuupo sehemu gani. site kwako wapi
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Hongera nimeipenda nyumb yako