Sipati picha uyo mpwayungu village itakuaje🤣 na vipi kuhusu ndugu yangu dronedrakeSijui siku hiyo itakuwaje
Mama kaweka wazi kuwa huwa anapitia huku JF na kuperuzi majukwaa mbalimbali, am sure huwa kuna baadhi ya ID, post, replies huwa vinamchekesha sana
Yanayodhaniwa hayawezekani kuna siku yanaweza kuwezekana! Chakula cha usiku /get together wana JF na mama rais kwa mwaliko maalum!
Siku hiyo hao watakaobahatika kualikwa am sure watavunja makabati kwa kutafuta kiwalo kikali cha kuonekana kwenye video na rais
Sasa kichekesho kitakuja hapo ukumbini... Mama akiwa kakaa meza kuu anawaangalia waalikwa wake walivyo wapole na watakatifu... Kwakuwa kutakuwa hakuna kutambulishana ID za JF.. Basi mama atakuwa tu anafanya guess work kichwani mwake [emoji23]
Yule kwa kumtazama tuu ni rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Yule kwa pozi lile ni Asprin mchaga kikongwe asiyependa kuzeeka(siku hiyo atakuwa kaenda saluni kuupiga uso deck na kuweka wave na super black[emoji23]
Mama akiendelea kuangaza kwa taratibu sana atamuona kwenye kona mtu mmoja katulia sana atajisemea huyu hakosi kuwa Bujibuji Simba Nyamaume
Kwa vyovyote Maxence Melo atakuwepo akiwa kapendeza sana! Huyu anawatambua baadhi ya members kwa sura.. Kuna kipindi atamuinamia mama na watateta jambo kisha watatabasamu, ujue hapo atakuwa kamuonyesha mama kuwa yule mzee mwenye suti pale ndio johnthebaptist na pale tayari keshaandika mada tatu za mistari 6
Kuna wanyange pia watakuwepo wamependeza mno kina Dr. Mariposa na wengine wengi
Hakika itakuwa siku ya furaha kuu.. Ila Team SELFIKA watakosa cha kutupia maana simu zote camera zake zitakuwa hazifanyi kazi kwa muda [emoji23]
Mimi kama nitaalikwa sasa...!View attachment 2542490
Kwani ulidhani tulikuwa tunatumia condom?Tumebahatika kupata mtoto wa kiume[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1544][emoji1550]
Mimihamadiwewenani🤣, kipyoko,kipara kipyaHahaha..mama humu huwa anacheka majina.kina PAKABIKRA na Kisuchangariba
bila shaka huyo ndio invisibleJf wanajitahidi tahidi nao kuwa na pisi,i hope nao watakuwepo i hope ntachukua namba za huyo wa pili View attachment 2542503
hawa ndiyo wanafuta comments zangu za Kataa NdoaJf wanajitahidi tahidi nao kuwa na pisi,i hope nao watakuwepo i hope ntachukua namba za huyo wa pili View attachment 2542503
Tate Mkuu akikosa mwaliko, hiyo dinner na Madam President, itapooza sana.Sijui siku hiyo itakuwaje
Mama kaweka wazi kuwa huwa anapitia huku JF na kuperuzi majukwaa mbalimbali, am sure huwa kuna baadhi ya ID, post, replies huwa vinamchekesha sana
Yanayodhaniwa hayawezekani kuna siku yanaweza kuwezekana! Chakula cha usiku /get together wana JF na mama rais kwa mwaliko maalum! Siku hiyo hao watakaobahatika kualikwa am sure watavunja makabati kwa kutafuta kiwalo kikali cha kuonekana kwenye video na rais
Sasa kichekesho kitakuja hapo ukumbini... Mama akiwa kakaa meza kuu anawaangalia waalikwa wake walivyo wapole na watakatifu... Kwakuwa kutakuwa hakuna kutambulishana ID za JF.. Basi mama atakuwa tu anafanya guess work kichwani mwake [emoji23]
Yule kwa kumtazama tuu ni rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Yule kwa pozi lile ni Asprin mchaga kikongwe asiyependa kuzeeka(siku hiyo atakuwa kaenda saluni kuupiga uso deck na kuweka wave na super black[emoji23]
Mama akiendelea kuangaza kwa taratibu sana atamuona kwenye kona mtu mmoja katulia sana atajisemea huyu hakosi kuwa Bujibuji Simba Nyamaume
Kwa vyovyote Maxence Melo atakuwepo akiwa kapendeza sana! Huyu anawatambua baadhi ya members kwa sura.. Kuna kipindi atamuinamia mama na watateta jambo kisha watatabasamu, ujue hapo atakuwa kamuonyesha mama kuwa yule mzee mwenye suti pale ndio johnthebaptist na pale tayari keshaandika mada tatu za mistari 6
Kuna wanyange pia watakuwepo wamependeza mno kina Dr. Mariposa na wengine wengi
Hakika itakuwa siku ya furaha kuu.. Ila Team SELFIKA watakosa cha kutupia maana simu zote camera zake zitakuwa hazifanyi kazi kwa muda [emoji23]
Mimi kama nitaalikwa sasa...!
Sahihi kabisa ila naamini huyo mzee sio February snr [emoji23]Tate Mkuu akikosa mwaliko, hiyo dinner na Madam President, itapooza sana.
Maana kwa hakika atapata wasaa wa kumuona Mzee wa Kisambaa, ambaye kwa kweli alistahili kabisa kuwa sehemu ya Baraza lake la Mawaziri, kutokana na hekima, na busara zake nyingi alizojaliwa na Mola wake.
[emoji1787]nimechagua kuwa keyboard warrior, mama akinialika sitakwenda.Keyboard warriors wakilambishwa asali wanakua praise team.
Wataimba mapambio na kupiga kaswida on top of their voices.
😂😂😂Halafu eti mods wameifuta picha ambayo wameipost wenyew kwenye mitandao mingine ya kijamii ila kuletwa Jf imekuwa nongwa nimeshangaa sana..Nadhani hii comment ndio imefanya waifute hiyo pichaMbona kama rangi za upinde juu yao?
Wana mapepo hao mods😂😂😂Halafu eti mods wameifuta picha ambayo wameipost wenyew kwenye mitandao mingine ya kijamii ila kuletwa Jf imekuwa nongwa nimeshangaa sana..Nadhani hii comment ndio imefanya waifute hiyo picha
Hii itakuwa funga mwakaSijui siku hiyo itakuwaje
Mama kaweka wazi kuwa huwa anapitia huku JF na kuperuzi majukwaa mbalimbali, I am sure huwa kuna baadhi ya ID, post, replies huwa vinamchekesha sana
Yanayodhaniwa hayawezekani kuna siku yanaweza kuwezekana! Chakula cha usiku /get together wana JF na mama rais kwa mwaliko maalum! Siku hiyo hao watakaobahatika kualikwa I am sure watavunja makabati kwa kutafuta kiwalo kikali cha kuonekana kwenye video na rais
Sasa kichekesho kitakuja hapo ukumbini. Mama akiwa kakaa meza kuu anawaangalia waalikwa wake walivyo wapole na watakatifu. Kwakuwa kutakuwa hakuna kutambulishana ID za JF.. Basi mama atakuwa tu anafanya guess work kichwani mwake [emoji23]
Yule kwa kumtazama tuu ni rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Yule kwa pozi lile ni Asprin mchaga kikongwe asiyependa kuzeeka(siku hiyo atakuwa kaenda saluni kuupiga uso deck na kuweka wave na super black[emoji23]
Mama akiendelea kuangaza kwa taratibu sana atamuona kwenye kona mtu mmoja katulia sana atajisemea huyu hakosi kuwa Bujibuji Simba Nyamaume
Kwa vyovyote Maxence Melo atakuwepo akiwa kapendeza sana! Huyu anawatambua baadhi ya members kwa sura.. Kuna kipindi atamuinamia mama na watateta jambo kisha watatabasamu, ujue hapo atakuwa kamuonyesha mama kuwa yule mzee mwenye suti pale ndio johnthebaptist na pale tayari keshaandika mada tatu za mistari 6
Kuna wanyange pia watakuwepo wamependeza mno kina Dr. Mariposa na wengine wengi
Hakika itakuwa siku ya furaha kuu.. Ila Team SELFIKA watakosa cha kutupia maana simu zote camera zake zitakuwa hazifanyi kazi kwa muda [emoji23]
Mimi kama nitaalikwa sasa...!
Kule haikuwa na maoni huku watu walianza kuijengea hoja mbalimbali[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu eti mods wameifuta picha ambayo wameipost wenyew kwenye mitandao mingine ya kijamii ila kuletwa Jf imekuwa nongwa nimeshangaa sana..Nadhani hii comment ndio imefanya waifute hiyo picha