Dinner with Madam President

Dinner with Madam President

Sijui siku hiyo itakuwaje

Mama kaweka wazi kuwa huwa anapitia huku JF na kuperuzi majukwaa mbalimbali, am sure huwa kuna baadhi ya ID, post, replies huwa vinamchekesha sana

Yanayodhaniwa hayawezekani kuna siku yanaweza kuwezekana! Chakula cha usiku /get together wana JF na mama rais kwa mwaliko maalum!
Siku hiyo hao watakaobahatika kualikwa am sure watavunja makabati kwa kutafuta kiwalo kikali cha kuonekana kwenye video na rais

Sasa kichekesho kitakuja hapo ukumbini... Mama akiwa kakaa meza kuu anawaangalia waalikwa wake walivyo wapole na watakatifu... Kwakuwa kutakuwa hakuna kutambulishana ID za JF.. Basi mama atakuwa tu anafanya guess work kichwani mwake [emoji23]

Yule kwa kumtazama tuu ni rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Yule kwa pozi lile ni Asprin mchaga kikongwe asiyependa kuzeeka(siku hiyo atakuwa kaenda saluni kuupiga uso deck na kuweka wave na super black[emoji23]

Mama akiendelea kuangaza kwa taratibu sana atamuona kwenye kona mtu mmoja katulia sana atajisemea huyu hakosi kuwa Bujibuji Simba Nyamaume
Kwa vyovyote Maxence Melo atakuwepo akiwa kapendeza sana! Huyu anawatambua baadhi ya members kwa sura.. Kuna kipindi atamuinamia mama na watateta jambo kisha watatabasamu, ujue hapo atakuwa kamuonyesha mama kuwa yule mzee mwenye suti pale ndio johnthebaptist na pale tayari keshaandika mada tatu za mistari 6
Kuna wanyange pia watakuwepo wamependeza mno kina Dr. Mariposa na wengine wengi

Hakika itakuwa siku ya furaha kuu.. Ila Team SELFIKA watakosa cha kutupia maana simu zote camera zake zitakuwa hazifanyi kazi kwa muda [emoji23]

Mimi kama nitaalikwa sasa...!View attachment 2542490
Sipati picha uyo mpwayungu village itakuaje🤣 na vipi kuhusu ndugu yangu dronedrake
 
Sijui siku hiyo itakuwaje

Mama kaweka wazi kuwa huwa anapitia huku JF na kuperuzi majukwaa mbalimbali, am sure huwa kuna baadhi ya ID, post, replies huwa vinamchekesha sana

Yanayodhaniwa hayawezekani kuna siku yanaweza kuwezekana! Chakula cha usiku /get together wana JF na mama rais kwa mwaliko maalum! Siku hiyo hao watakaobahatika kualikwa am sure watavunja makabati kwa kutafuta kiwalo kikali cha kuonekana kwenye video na rais

Sasa kichekesho kitakuja hapo ukumbini... Mama akiwa kakaa meza kuu anawaangalia waalikwa wake walivyo wapole na watakatifu... Kwakuwa kutakuwa hakuna kutambulishana ID za JF.. Basi mama atakuwa tu anafanya guess work kichwani mwake [emoji23]

Yule kwa kumtazama tuu ni rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Yule kwa pozi lile ni Asprin mchaga kikongwe asiyependa kuzeeka(siku hiyo atakuwa kaenda saluni kuupiga uso deck na kuweka wave na super black[emoji23]

Mama akiendelea kuangaza kwa taratibu sana atamuona kwenye kona mtu mmoja katulia sana atajisemea huyu hakosi kuwa Bujibuji Simba Nyamaume

Kwa vyovyote Maxence Melo atakuwepo akiwa kapendeza sana! Huyu anawatambua baadhi ya members kwa sura.. Kuna kipindi atamuinamia mama na watateta jambo kisha watatabasamu, ujue hapo atakuwa kamuonyesha mama kuwa yule mzee mwenye suti pale ndio johnthebaptist na pale tayari keshaandika mada tatu za mistari 6

Kuna wanyange pia watakuwepo wamependeza mno kina Dr. Mariposa na wengine wengi

Hakika itakuwa siku ya furaha kuu.. Ila Team SELFIKA watakosa cha kutupia maana simu zote camera zake zitakuwa hazifanyi kazi kwa muda [emoji23]

Mimi kama nitaalikwa sasa...!

Tate Mkuu akikosa mwaliko, hiyo dinner na Madam President, itapooza sana.

Maana kwa hakika atapata wasaa wa kumuona Mzee wa Kisambaa, ambaye kwa kweli alistahili kabisa kuwa sehemu ya Baraza lake la Mawaziri, kutokana na hekima, na busara zake nyingi alizojaliwa na Mola wake.
 
Umekosea kusema yohana mbatizaji atakuwa kapigilia suti.

Siku hiyo ukiona mtu amevaa moka, suruali nyeusi, tisheti ya njano na kofia ya kijani imechokachoka hivi halafu ananuka komoni au mbege basi ujue huyo ndiye yohana mbatizaji.
 
Tate Mkuu akikosa mwaliko, hiyo dinner na Madam President, itapooza sana.

Maana kwa hakika atapata wasaa wa kumuona Mzee wa Kisambaa, ambaye kwa kweli alistahili kabisa kuwa sehemu ya Baraza lake la Mawaziri, kutokana na hekima, na busara zake nyingi alizojaliwa na Mola wake.
Sahihi kabisa ila naamini huyo mzee sio February snr [emoji23]
 
Mbona kama rangi za upinde juu yao?
😂😂😂Halafu eti mods wameifuta picha ambayo wameipost wenyew kwenye mitandao mingine ya kijamii ila kuletwa Jf imekuwa nongwa nimeshangaa sana..Nadhani hii comment ndio imefanya waifute hiyo picha
 
😂😂😂Halafu eti mods wameifuta picha ambayo wameipost wenyew kwenye mitandao mingine ya kijamii ila kuletwa Jf imekuwa nongwa nimeshangaa sana..Nadhani hii comment ndio imefanya waifute hiyo picha
Wana mapepo hao mods
 
Sijui siku hiyo itakuwaje

Mama kaweka wazi kuwa huwa anapitia huku JF na kuperuzi majukwaa mbalimbali, I am sure huwa kuna baadhi ya ID, post, replies huwa vinamchekesha sana

Yanayodhaniwa hayawezekani kuna siku yanaweza kuwezekana! Chakula cha usiku /get together wana JF na mama rais kwa mwaliko maalum! Siku hiyo hao watakaobahatika kualikwa I am sure watavunja makabati kwa kutafuta kiwalo kikali cha kuonekana kwenye video na rais

Sasa kichekesho kitakuja hapo ukumbini. Mama akiwa kakaa meza kuu anawaangalia waalikwa wake walivyo wapole na watakatifu. Kwakuwa kutakuwa hakuna kutambulishana ID za JF.. Basi mama atakuwa tu anafanya guess work kichwani mwake [emoji23]

Yule kwa kumtazama tuu ni rickboy Mzee wa kula tunda kimasihara
Yule kwa pozi lile ni Asprin mchaga kikongwe asiyependa kuzeeka(siku hiyo atakuwa kaenda saluni kuupiga uso deck na kuweka wave na super black[emoji23]

Mama akiendelea kuangaza kwa taratibu sana atamuona kwenye kona mtu mmoja katulia sana atajisemea huyu hakosi kuwa Bujibuji Simba Nyamaume

Kwa vyovyote Maxence Melo atakuwepo akiwa kapendeza sana! Huyu anawatambua baadhi ya members kwa sura.. Kuna kipindi atamuinamia mama na watateta jambo kisha watatabasamu, ujue hapo atakuwa kamuonyesha mama kuwa yule mzee mwenye suti pale ndio johnthebaptist na pale tayari keshaandika mada tatu za mistari 6

Kuna wanyange pia watakuwepo wamependeza mno kina Dr. Mariposa na wengine wengi

Hakika itakuwa siku ya furaha kuu.. Ila Team SELFIKA watakosa cha kutupia maana simu zote camera zake zitakuwa hazifanyi kazi kwa muda [emoji23]

Mimi kama nitaalikwa sasa...!

Hii itakuwa funga mwaka
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu eti mods wameifuta picha ambayo wameipost wenyew kwenye mitandao mingine ya kijamii ila kuletwa Jf imekuwa nongwa nimeshangaa sana..Nadhani hii comment ndio imefanya waifute hiyo picha
Kule haikuwa na maoni huku watu walianza kuijengea hoja mbalimbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom