Dini zinapumbaza sana watu.

Dini zinapumbaza sana watu.

Kuna vitu vyengine mtu anaongea ilimradi tu,mtu anavyojadili dini inaweza kusema hao watu wenye dini ni kama kakikundi tu kidogo cha watu ambacho kimejitenga na maisha ya watu wengine waliyowengi ambao hawanana dini.

Mtu anakwambia dini inawafanya watu kuwa wajinga hawafanyi wanamtegemea Mungu,wakati huo huko kazini wafanya kazi wenzake wote waumini wa dini vizuri tu na wachapa kazi,au unaweza kusema huko shule wengi ni watu wasio na dini.

Ujinga popote unaweza kufanyika hata shuleni unaweza ukawajaza watu ujinga,ila watu wao wanaona dini tu.
 
Back
Top Bottom