Dini zinapumbaza sana watu.

Dini zinapumbaza sana watu.

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,966
Dini hupumbaza watu zaiki kuliko kitu chochote. Dini haihimizi watu kufikiri, inawataka kila gumu wanalokutana nalo wasome vitabu majibu yao yamo humo, kwamba dini inafikiria kwa niamba yako, wewe akili uliyonayo ni kwa ajili ya kuvukia barabara tu.

Ndio maana unaweza kushangaa mtu anaua wenzake kwa mgongo wa dini, ni kwa sbabu dini imempumbaza na kumwambia ukiua ni baraka.

Sasa jana kaja dada yangu hapa kwangu, amekuja kufuatilia mambo yake binafsi kutoka mkoa mwingine. Amefika na mizingo(mabegi mengi), nikashangaa kidogo maana anasema atakaa siku 3 au 4 arudi kwake. Mojawapo ya hiyo mizigo ni begi moja kubwa lenye masananu ya watakatifu. Begi limejaa masananu. Usiku kabla ya kulala akayatoa sebuleni kwa ajili ya kuomba labla ya kulala, mara mtakatifu wa mambo magumu yaliyoshindikana, mara sijui mtakatifu wako binafsi, mtakatifu gani sijui.

Mimi ili kutomkwaza sister nikakaa sebuleni aombe tukalale, baada ya kumaliza kuomba akaanza kunihubiria, kuniambia niende kanisani nikaambiwe mtakatifu wangu binafsi wa kua ananiombea personally, sijui na mambo gani mengi. Sikutaka kumchallenge maana najua angekwazika sana alafu she is a little learned person. Basi kayaacha hayo masananu yake sebuleni.

Hakika dini ni ugonjwa mbaya sana, unapumbaza watu, dini ni ugonjwa unaoshambulia akili, kuidumaza, ni ugonjwa hatari kuliko hata saratani.

Hivi kumbe hapa Duniani kila mtu ana mtakatifu wake personally anaemsikiliza?
 
Shida ni jinsi watu wanavyoitafsiri dini, ila ni kitu muhimu zaidi kwa binadamu maana dini huleta Amani, kukataza maovu na ndio nyenzo pekee unayoweza kuitumia kwa binadamu mwenzako akusikilize otherwise ni jeuri ya pesa na kuoneshana nani ni nani. Bila hizi Imani mambo yangekuwa magumu sana.
Tatizo ni watu hutumia dini kufanya wenzao misukule kuwaagiza pesa ili kujinufaisha.
Dini sio tatizo ila tatizo ni binadamu.
 
Haya Maaajabu ya wafia dini utayakuta kwenye Jamiii maskini wa Elimu and low IQ
 
Dini hupumbaza watu zaiki kuliko kitu chochote. Dini haihimizi watu kufikiri, inawataka kila gumu wanalokutana nalo wasome vitabu majibu yao yamo humo, kwamba dini inafikiria kwa niamba yako, wewe akili uliyonayo ni kwa ajili ya kuvukia barabara tu.

Ndio maana unaweza kushangaa mtu anaua wenzake kwa mgongo wa dini, ni kwa sbabu dini imempumbaza na kumwambia ukiua ni baraka.

Sasa jana kaja dada yangu hapa kwangu, amekuja kufuatilia mambo yake binafsi kutoka mkoa mwingine. Amefika na mizingo(mabegi mengi), nikashangaa kidogo maana anasema atakaa siku 3 au 4 arudi kwake. Mojawapo ya hiyo mizigo ni begi moja kubwa lenye masananu ya watakatifu. Begi limejaa masananu. Usiku kabla ya kulala akayatoa sebuleni kwa ajili ya kuomba labla ya kulala, mara mtakatifu wa mambo magumu yaliyoshindikana, mara sijui mtakatifu wako binafsi, mtakatifu gani sijui.

Mimi ili kutomkwaza sister nikakaa sebuleni aombe tukalale, baada ya kumaliza kuomba akaanza kunihubiria, kuniambia niende kanisani nikaambiwe mtakatifu wangu binafsi wa kua ananiombea personally, sijui na mambo gani mengi. Sikutaka kumchallenge maana najua angekwazika sana alafu she is a little learned person. Basi kayaacha hayo masananu yake sebuleni.

Hakika dini ni ugonjwa mbaya sana, unapumbaza watu, dini ni ugonjwa unaoshambulia akili, kuidumaza, ni ugonjwa hatari kuliko hata saratani.

Hivi kumbe hapa Duniani kila mtu ana mtakatifu wake personally anaemsikiliza?
Dini siyo mbaya sana maana huchangia kustaarabiana kati ya mtu na mtu na kuchukuliana mizigo ya kimaisha,tatizo linakuja tu pale watu wanapokua na matatizo binafsi yaliyo wachanganya vichwani wanajikuta wanaingiziwa na mahubili ya kitapeli na wao wanayabeba na kutembea nayo,mengine ni mahubili ya kimapepo nayo yanawakumba na kutembea nayo kiasi wanakua kama wajinga fulani hivi lakini ukweli dini si kitu kibaya
 
Shida ni jinsi watu wanavyoitafsiri dini, ila ni kitu muhimu zaidi kwa binadamu maana dini huleta Amani, kukataza maovu na ndio nyenzo pekee unayoweza kuitumia kwa binadamu mwenzako akusikilize otherwise ni jeuri ya pesa na kuoneshana nani ni nani. Bila hizi Imani mambo yangekuwa magumu sana.
Tatizo ni watu hutumia dini kufanya wenzao misukule kuwaagiza pesa ili kujinufaisha.
Dini sio tatizo ila tatizo ni binadamu.
Wewe jamaa ubarikiwe na comment yako
 
Dini sio mbaya tatizo ni mapokeo ya dini sasa uyo Mungu wake ni yupi wa Mbinguni amekataa ma ibada ya sanamu uyo wamesha mchanganyia sio Mungu ninae mjua mimi wa IBRAHIM,ISAKA ,NA YAKOBO.
 
dini zinapumbaza au mtu mwenyewe ndie mpumbavu.upumbavu wa mtu hauna uhusiano na dini
Ayo ni mapokeo ya miungu ya shetani sio Mungu wa Mbinguni Biblia imekataa kabisa ibada ya sanamu shida watu wanakua wavivu wa kusoma maandiko that's why Neno linasema tunaangamia kwa kukosa maarifa km uyo sasa anamkufuru Mungu wa mbinguni na kumchukiza akizani yuko nae sawa sawa 7bu ya mapokeo ya muovu yalio vamia Kanisa la Mungu akili zifanye kazi izi nyakati sio salama hata kidogo.
 
Hata ukisema uzifute dini zote watu wataanza kuabudu miti na magome miamba na wanyama na wengine wataabudu hadi samaki ...all in all tumeprogamiwa tuabudu.
Halafu yule anaeabudu miti atamdharau yule anaeabudu Miamba na yule anaeabudu Samaki ataanzisha vita ili watu wote waabudu samaki wa haki.
 
"Dini hupumbaza watu zaiki kuliko kitu chochote. Dini haihimizi watu kufikiri, inawataka kila gumu wanalokutana nalo wasome vitabu majibu yao yamo humo, kwamba dini inafikiria kwa niamba yako, wewe akili uliyonayo ni kwa ajili ya kuvukia barabara tu."
Dah 🙄
 
Dini ilitaka kutawanya familia yetu live Kuna Kaka yetu aliingia kwa nabii furani hv ( Jina kapuni ) akaja na Sera zake za uchawi, kila mtu Ni mchawi kwake...ikafika hatua mpaka mama yake mzazi kamwita mchawi...hakuwa na maendeleo kwa sababu ya kuendekeza ulevi...Yani ni vituko juu ya vituko...analala nje yeye na familia yake usiku mzima Ni wanapiga kelele Eti wanapambana na wachawi wanaotaka kuangamiza familia ila sisi hatuwaoni kila kitu kipo shwari. Shida ni wa...walikuwa Kama vichaa hawafanyi kazi kutafuta pesa ya kupambana na maisha wao...wanapeleka pesa kanisani kwa nabii wao...hlf wakilala na njaa wanatuita wachawi. Walikonda wakawa Kama waathirika. Namshukuru Sana Mungu alijidhihirisha kwao cjui huyo nabii wao alibugi nini kanisa likagawanyika ndio wanandugu wakamuweka chini na kumpa Fact kwa unakoelekea unaenda kuchanganyikiwa na unaopoteza kabisa dira ya maisha. Sasa hivi...anasema yeye ndio alilogwa Mambo ya dini haya magumu Sana.
 
Dini hupumbaza watu zaiki kuliko kitu chochote. Dini haihimizi watu kufikiri, inawataka kila gumu wanalokutana nalo wasome vitabu majibu yao yamo humo, kwamba dini inafikiria kwa niamba yako, wewe akili uliyonayo ni kwa ajili ya kuvukia barabara tu.

Ndio maana unaweza kushangaa mtu anaua wenzake kwa mgongo wa dini, ni kwa sbabu dini imempumbaza na kumwambia ukiua ni baraka.

Sasa jana kaja dada yangu hapa kwangu, amekuja kufuatilia mambo yake binafsi kutoka mkoa mwingine. Amefika na mizingo(mabegi mengi), nikashangaa kidogo maana anasema atakaa siku 3 au 4 arudi kwake. Mojawapo ya hiyo mizigo ni begi moja kubwa lenye masananu ya watakatifu. Begi limejaa masananu. Usiku kabla ya kulala akayatoa sebuleni kwa ajili ya kuomba labla ya kulala, mara mtakatifu wa mambo magumu yaliyoshindikana, mara sijui mtakatifu wako binafsi, mtakatifu gani sijui.

Mimi ili kutomkwaza sister nikakaa sebuleni aombe tukalale, baada ya kumaliza kuomba akaanza kunihubiria, kuniambia niende kanisani nikaambiwe mtakatifu wangu binafsi wa kua ananiombea personally, sijui na mambo gani mengi. Sikutaka kumchallenge maana najua angekwazika sana alafu she is a little learned person. Basi kayaacha hayo masananu yake sebuleni.

Hakika dini ni ugonjwa mbaya sana, unapumbaza watu, dini ni ugonjwa unaoshambulia akili, kuidumaza, ni ugonjwa hatari kuliko hata saratani.

Hivi kumbe hapa Duniani kila mtu ana mtakatifu wake personally anaemsikiliza?
Hakuna watu duniani wamefanywa mazombi na makanisa kama watanzania ilanjamii haijaona kama ni tatizo
 
Bado najiuliza hapa .....kipi bora kukishika Dini au Imani ,,,,?
 
Ayo ni mapokeo ya miungu ya shetani sio Mungu wa Mbinguni Biblia imekataa kabisa ibada ya sanamu shida watu wanakua wavivu wa kusoma maandiko that's why Neno linasema tunaangamia kwa kukosa maarifa km uyo sasa anamkufuru Mungu wa mbinguni na kumchukiza akizani yuko nae sawa sawa 7bu ya mapokeo ya muovu yalio vamia Kanisa la Mungu akili zifanye kazi izi nyakati sio salama hata kidogo.
Sisi wenye imani yetu huwezi kututeganisha na kuabudu masanamu hususani lile mama wa Mungu.....na watakatifu wengine.......
 
Dini hupumbaza watu zaiki kuliko kitu chochote. Dini haihimizi watu kufikiri, inawataka kila gumu wanalokutana nalo wasome vitabu majibu yao yamo humo, kwamba dini inafikiria kwa niamba yako, wewe akili uliyonayo ni kwa ajili ya kuvukia barabara tu.

Ndio maana unaweza kushangaa mtu anaua wenzake kwa mgongo wa dini, ni kwa sbabu dini imempumbaza na kumwambia ukiua ni baraka.

Sasa jana kaja dada yangu hapa kwangu, amekuja kufuatilia mambo yake binafsi kutoka mkoa mwingine. Amefika na mizingo(mabegi mengi), nikashangaa kidogo maana anasema atakaa siku 3 au 4 arudi kwake. Mojawapo ya hiyo mizigo ni begi moja kubwa lenye masananu ya watakatifu. Begi limejaa masananu. Usiku kabla ya kulala akayatoa sebuleni kwa ajili ya kuomba labla ya kulala, mara mtakatifu wa mambo magumu yaliyoshindikana, mara sijui mtakatifu wako binafsi, mtakatifu gani sijui.

Mimi ili kutomkwaza sister nikakaa sebuleni aombe tukalale, baada ya kumaliza kuomba akaanza kunihubiria, kuniambia niende kanisani nikaambiwe mtakatifu wangu binafsi wa kua ananiombea personally, sijui na mambo gani mengi. Sikutaka kumchallenge maana najua angekwazika sana alafu she is a little learned person. Basi kayaacha hayo masananu yake sebuleni.

Hakika dini ni ugonjwa mbaya sana, unapumbaza watu, dini ni ugonjwa unaoshambulia akili, kuidumaza, ni ugonjwa hatari kuliko hata saratani.

Hivi kumbe hapa Duniani kila mtu ana mtakatifu wake personally anaemsikiliza?
Karl Marx define religion as "collection of intimidation and threats to control and exploit human being"...............religion is a toal of capitalism in other ways
 
Karl Marx define religion as "collection of intimidation and threats to control and exploit human being"...............religion is a toal of capitalism in other ways
😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom