Dini ya Allah inaruhusu uchawa?

Dini ya Allah inaruhusu uchawa?

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,882
Reaction score
7,916
Mwijaku ni moja kati ya wafia dini ya Allah na anadai kuwa hata mtume alikuwa na chawa walioitwa Maswahaba na anadai hao jamaa walikuwa na makhaba na mtume hivyo si vibaya mtu kuwa chawa.

Kumbe Allah anaruhusu haya mambo au Mwijaku anatudanganya?
 
Mwijaku ni chawa pro max, ndio chawa namba moja, ni chawa mwandamizi akifuatiwa na baba levo, hawa wamejitanabaisha kuwa ni big chawa, ndio maafisa wa uchawa
 
Mwijaku ni moja kati ya wafia dini ya Allah na anadai kuwa hata mtume alikuwa na chawa walioitwa Maswahaba na anadai hao jamaa walikuwa na makhaba na mtume hivyo si vibaya mtu kuwa chawa.

Kumbe Allah anaruhusu haya mambo au Mwijaku anatudanganya?
Achana na habari za mashoga
 
Mahaba yake ya kimaslahi asiingize dini yetu tukufu Mtu ana mume wake unahangaika nae wa nini
 
Back
Top Bottom