Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Mungu ni roho na sayansi ni vitu vyenye kushikika. Kinachofikirisha ni ukweli kwamba hao wanasayansi Ijumaa au Jumapili wanaamkia misikitini na makanisani.

Ukiugua hata ukiwa mwanasayansi muda mfupi kabla hujaaga dunia ukiwa mkatoliki unaitiwa Padre kwa ajili ya upako wa mwisho.

Ukuu wa Mungu ni mkubwa kuliko uwezo wa wanasayansi wa kuja na majibu kwa shida za ulimwengu huu, Mfano hai ni namna Covid 19 ilivyotesa na kuua mamilioni mwishoni mwa muongo uliopita na mwanzoni mwa huu wa sasa.

Punguza kufuru, naamini umri wako ni mdogo kuna mengi utakuja kuyajua miaka ijayo.
Kwa huo mfano wa Covid 19, unamaanisha ndio ukuu wa Mungu katuonyesha au umemaanisha nini sijakupata.
 
Kwa huo mfano wa Covid 19, unamaanisha ndio ukuu wa Mungu katuonyesha au umemaanisha nini sijakupata.
Tuiheshimu nguvu kubwa ya muumba ipo siku zote. Tatizo la binadamu la kusahau mapema.

Kule Italia muda mfupi kabla ya ugonjwa kuibuka walifanya ushenzi mwingi sana wa ushoga, ikafika wakati wa adhabu iliyo kuu wakafa maelfu kila kukicha.

Mwanasayansi ikifika Jumapili au Ijumaa anakuwa wa kwanza kanisani au msikitini, ndio ujue nguvu ya Mungu ilivyo.

Kiburi na ukosefu mzima wa unyenyekevu ndio sababu ya kwanza ya mipango yetu mingi kufia njiani.
 
Tuiheshimu nguvu kubwa ya muumba ipo siku zote. Tatizo la binadamu la kusahau mapema.

Kule Italia muda mfupi kabla ya ugonjwa kuibuka walifanya ushenzi mwingi sana wa ushoga, ikafika wakati wa adhabu iliyo kuu wakafa maelfu kila kukicha.

Mwanasayansi ikifika Jumapili au Ijumaa anakuwa wa kwanza kanisani au msikitini, ndio ujue nguvu ya Mungu ilivyo.

Kiburi na ukosefu mzima wa unyenyekevu ndio sababu ya kwanza ya mipango yetu mingi kufia njiani.
Mkuu , umeachanga ma file vibaya Sana.
 
Hebu fikiria kwa makini kuhusu "mbinguni na motoni " ni mbinu tu za hawa wemye makampuni ya dini ili kutishia watu hasa wale wa dunia ya tatu.
Na walioleta hii 'dhahania' hawana time nayo sasa, ila tuloletewa sasa...hatutaki kustuka
 
Back
Top Bottom