Dini mpya itaenea katika nchi

Dini mpya itaenea katika nchi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
"....... And a new religion shall sweep across the land."

Matukio ya watoto kuua wazazi, wanandoa kuua wenzi wao, haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu.
Watu wanajiuliza kama wanahitaji mke. Haya mambo Godbless Lema alikuwa anayazungumzia leo asubuhi. Kuna tatizo gani? Hakuna tatizo. Ni dini ya Shetani tu. Certainly hao watu hawahitaji kupimwa afya ya akili.
 
"....... And a new religion shall sweep across the land."
Matukio ya watoto kuua wazazi,wanandoa kuua wenzi wao,haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu.
Watu wanajiuliza kama wanahitaji mke. Haya mambo Godbless Lema alikuwa anayazungumzia leo asubuhi. Kuna tatizo gani? Hakuna tatizo. Ni dini ya Shetani tu. Certainly hao watu hawahitaji kupimwa afya ya akili.
"Matukio ya watoto kuua wazazi,wanandoa kuua wenzi wao,haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu".
Hakuna dhambi mpya. Zote zilishatendwa/fanyika tangu zamani. Kinachotofautisha hapo ni mtindo wa utendaji wa dhambi husika. Juzijuzi kati hapo walitenda kwa mtindo wa Analogia siku hizi wanafanya ki-digitali zaidi lakini kitu ni kilekile.
 
"....... And a new religion shall sweep across the land."

Matukio ya watoto kuua wazazi, wanandoa kuua wenzi wao, haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu.
Watu wanajiuliza kama wanahitaji mke. Haya mambo Godbless Lema alikuwa anayazungumzia leo asubuhi. Kuna tatizo gani? Hakuna tatizo. Ni dini ya Shetani tu. Certainly hao watu hawahitaji kupimwa afya ya akili.
Unapotosha ukiaminisha watu matukio haya ni mapya..
Yapo tangu enzi na enzi..Tena naweza argue,kustaaribika kwa watu,uwepo wa Sheria, yamepunguza sana haya matukio.
 
Unapotosha ukiaminisha watu matukio haya ni mapya..
Yapo tangu enzi na enzi..Tena naweza argue,kustaaribika kwa watu,uwepo wa Sheria, yamepunguza sana haya matukio.
Watu wanashindwwa ku ret engeneza jela kwa sBabu okano nyinnvine zinWasa loo ki t.
Unapotosha ukiaminisha watu matukio haya ni mapya..
Yapo tangu enzi na enzi..Tena naweza argue,kustaaribika kwa watu,uwepo wa Sheria, yamepunguza sana haya matukio.
Mambo haya ni mapya. Walikuwa wanayajadili jana BBC swahili wanasema,"mbona ghafla tunaona watu wanazidisha kuuana?"
 
Dini mpya Tanzania👇🤡🤡🤡
 
Nimeamka asubuhi leo nikaamua kusoma Hadith. Nilikuwa nafikiria"hawa Waislamu wanaitwa wastaarabu lakini mbona hawafanyi mambo ya kistaarabu barabarani"?
Nikasoma,baada ya muda nikaifikia hii statement,
Allah's Apostle said, "By Him in Whose Hands my life is, none of you will have faith till he loves me more than his father and his children."
Halafu hii statement,
The Prophet said "None of you will have faith till he loves me more than his father, his children and all mankind."
Kabla ya hapo Muhammad alikuwa amesema,
The Prophet said, "None of you will have faith till he wishes for his (Muslim) brother what he likes for himself." .
Ugomvi wangu na hizi statements,hii ya chini,kwa mfano,"Waislamu wapendane",ina maana upendo ni kwa Waislamu wenyewe,hauwahusu watu wengine.
Au ukisema "Waislamu wasimpende baba yao au mama yao au mtoto wao,ila wampende Mtume tu.
Au unaposema dunia nzima isipendwe isipikuwa Muhammad tu. Hiyo siyo recipe for terrorism?
 
Nimeamka asubuhi leo nikaamua kusoma Hadith. Nilikuwa nafikiria"hawa Waislamu wanaitwa wastaarabu lakini mbona hawafanyi mambo ya kistaarabu barabarani"?
Nikasoma,baada ya muda nikaifikia hii statement,
Allah's Apostle said, "By Him in Whose Hands my life is, none of you will have faith till he loves me more than his father and his children."
Halafu hii statement,
The Prophet said "None of you will have faith till he loves me more than his father, his children and all mankind."
Kabla ya hapo Muhammad alikuwa amesema,
The Prophet said, "None of you will have faith till he wishes for his (Muslim) brother what he likes for himself." .
Ugomvi wangu na hizi statements,hii ya chini,kwa mfano,"Waislamu wapendane",ina maana upendo ni kwa Waislamu wenyewe,hauwahusu watu wengine.
Au ukisema "Waislamu wasimpende baba yao au mama yao au mtoto wao,ila wampende Mtume tu.
Au unaposema dunia nzima isipendwe isipikuwa Muhammad tu. Hiyo siyo recipe for terrorism?
Naunga mkono hoja mheshimiwa spika🤣
 
"....... And a new religion shall sweep across the land."

Matukio ya watoto kuua wazazi, wanandoa kuua wenzi wao, haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu.
Watu wanajiuliza kama wanahitaji mke. Haya mambo Godbless Lema alikuwa anayazungumzia leo asubuhi. Kuna tatizo gani? Hakuna tatizo. Ni dini ya Shetani tu. Certainly hao watu hawahitaji kupimwa afya ya akili.
Dini hiyo ya kipepo
 
Back
Top Bottom