princesitor
Member
- Oct 7, 2012
- 31
- 1
anafanya kazi gani? Elimu hamna sawa kipato je?asije akawa mzigo shosti
Pole xana but ucjali ndo umeambiwa utamwacha baba yako na mama yako ucjali kuhusu dini tanzania hakuna udini wote tunamwabudu Mungu mmoja zidisha maombi ntafanikiwa 100%-)
nan kasema walokole hawafi kifo cha mende..
:focus:..bado sijjajua wataka msaada gani
jaman mbona mwani elewa vibaya nimesema nimemwambia m2 m1 apo familia ni ya kilokole issue ni kwamba hatuelewi 2fanyaje coz kwao hawatak mwanamke mkristo (na mimi ckotayar kubadili dini).pia kwe2 wanasema mwanaume gani hana elimu,pia ni muislam xo tayar 2naishi wote kitambo na wazazi 2mewajulisha ivi karibun ndo wanazingua .hope nw umenixoma mkubwa
Nasikia kuna watu wanabadili Ukoo sembuse dini?
Muombe Mungu sana akuoneshe njia!
jaman mbona mwani elewa vibaya nimesema nimemwambia m2 m1 apo familia ni ya kilokole issue ni kwamba hatuelewi 2fanyaje coz kwao hawatak mwanamke mkristo (na mimi ckotayar kubadili dini).pia kwe2 wanasema mwanaume gani hana elimu,pia ni muislam xo tayar 2naishi wote kitambo na wazazi 2mewajulisha ivi karibun ndo wanazingua .hope nw umenixoma mkubwa
Nasikia kuna watu wanabadili Ukoo sembuse dini?
Muombe Mungu sana akuoneshe njia!
em tizama unavyojikoroga mwenyewe.hapo kwenye red.. uko chuo kikuu kipi?????
Luhga yako inatia kinyaa....
xo ndo nini..?
Mungu achangamani za dhambi...Yeye tayari anafanya uzinzi..
Mungu achangamani za dhambi...Yeye tayari anafanya uzinzi..