Nabii Joshua Mwantyala akiwanyunyizia 'maji ya tiba' kinywani wananchi waliofika katika mkutano wake wa neno la Mungu wenye lengo la kuwaombea watu wenye magonjwa sugu wakiwemo wenye Ukimwi, Mjini Vwawa, Mbozi mkoani Mbeya. Nabii huyo juzi alianzisha huduma ya kugawa matone ya maji anayodai ni 'majibu ya maajabu ya Loliondo'.
(O.O.O) .... ''Na watatokea Manabii wauongo'' + tunatazama lakini hatuoni + tunasikia lakini hatuelewi :::::: Yale ya kweli hupingwa na kupakwa matope kila mtu huyakana na kuamua kufuata njia rahisi ya uongo.... Peace of the father.. (off topic)