mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 771
Huyu dada alikua mtangazaji mzuri sana Clouds Fm kipindi cha Leo Tena.
Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana.
Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko
Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana.
Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko