Dimpoz kwa mwanaume ni za nini?

baadae naomba uwaulize wanabodi juu ya hizo chuchu kwenye kifua cha mwanaume zinamaanisha nini
 
Kwanza ifahamike kuwa dimpoz ni aina moja wapo ya kilema ila kwa nchi za ukanda wa Africa wanafanya kama urembo
 
Japo hukunilenga mimi ila nimekerwa na post yako... Hivi mtu kuwa na dimples unachagua au ni automatically unazaliwa nazo? Kwanini muanze ku critisize uumbaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…