Dimples na mwanya havichakachuliki

Dimples na mwanya havichakachuliki

Mi navutiwa sana na wanawake wenye sura za bashasha,muda wote kama anacheka/kutabasamu automatikale,yaani hata yy mwenyewe hawezi kujizuia,mi huwa hoi taabani,hata awe flat kama tv ya LED alafu wako wachache sana wa sampuli hyo duniani
 
uhuru-main.jpg
 
Naomba kuwasilisha kwenu wadau
kwa kukusaidia tu na kwa faida ya wengineo humu ni kwamba hizo dimples au mtu mwenye dimples awe ni Mwanaume au Mwanamke basi jua ana vitu au characters hizi kubwa zifuatazo na ambazo Mwenyezi Mungu huwa hazitoi tu hovyo hovyo hata kwa " mangumbaru " wengine:

1. mwenye dimples huwa na BAHATI sana maishani.

2. mwenye dimples huwa na MVUTO mkubwa.

3. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA sana na mno ( Charismatic ). Na pia wanaonekana innocent and humble saana. Sura za upole na nzuri pia kutazama.

4. mwenye dimples huwa na UTAMU usio na kifani katika TENDO zima la ndoa.

5. mwenye dimples huwa na USHAWISHI mkubwa mno popote alipo.

6. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA kupita kiasi na Mwenyezi Mungu.

7. mwenye dimples huwa ni mtu MKARIMU, MCHESHI na asiye na MAKUU.

ukizikataa hizo basi ujue unataka tu kuleta " ligi " isiyo na mdhamini ila ukweli ndiyo huo. asante sana Mwenyezi Mungu kwa UUMBAJI wako huu.

Asante mungu kwa kunipa dimpozi mashavu yote mawili.

Smiiiiile!

Cc mshana jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waoooh team mwanya safi sanaaaa najivunia kuwa na mwanya
 
Naomba kuwasilisha kwenu wadau
kwa kukusaidia tu na kwa faida ya wengineo humu ni kwamba hizo dimples au mtu mwenye dimples awe ni Mwanaume au Mwanamke basi jua ana vitu au characters hizi kubwa zifuatazo na ambazo Mwenyezi Mungu huwa hazitoi tu hovyo hovyo hata kwa " mangumbaru " wengine:

1. mwenye dimples huwa na BAHATI sana maishani.

2. mwenye dimples huwa na MVUTO mkubwa.

3. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA sana na mno ( Charismatic ). Na pia wanaonekana innocent and humble saana. Sura za upole na nzuri pia kutazama.

4. mwenye dimples huwa na UTAMU usio na kifani katika TENDO zima la ndoa.

5. mwenye dimples huwa na USHAWISHI mkubwa mno popote alipo.

6. mwenye dimples huwa ni mtu ANAYEPENDWA kupita kiasi na Mwenyezi Mungu.

7. mwenye dimples huwa ni mtu MKARIMU, MCHESHI na asiye na MAKUU.

ukizikataa hizo basi ujue unataka tu kuleta " ligi " isiyo na mdhamini ila ukweli ndiyo huo. asante sana Mwenyezi Mungu kwa UUMBAJI wako huu.

Asante mungu kwa kunipa dimpozi mashavu yote mawili.

Smiiiiile!

Cc mshana jr

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom