Nguvu za kiume kwa vijana ni janga la taifa.
Huyo mwanaume hafai raha ya mwanamme akukoroge ukorogeke.
Piga chini wenzake siku ya kwanza wakipewa gemu hawalali.....
Kwanza tatizo linaanzia kwenu nyie wadada
Mnawapenda sana hawa mabazazi,yakiwafika ndio mnakuja hapa kulalama
Mnawapenda hawa mabishoo sijui kwanini,mkipigwa vesi na vijana wa shoka wanaojua majukumu yao mnadai eti hawaendi na wakati,mnataka wawe wanapaka poda na kukaa kwenye dressing table saa nzima kama nyie
Nyambaf zenu
Mkikuta kijana anakula dona kilo moja mnasema huyo sio wa karne ya 21
Tatizo lingine ni kwa hawa wavulana
Wanajidai eti kuishi maisha ya kina Allejandro na kina sijui nani waliowaona kwenye tamthilia zenu zile
Hovyo kabisa,akiona fulani anakunywa ka juice nusu glasi nae anataka kuzileta hizo swaga uswahilini
Wavuvu wa kujishughulisha na kufanya mazoezi,unakuta kavulkana hakawezi hata kupiga push up 5,unategemea huyo atakugegeda kisawasawa kweli?
Kijana ukimuangalia uso wake ni nyororo utadhani wa dada yake na pengine anaweza kuuzidi wa dada yake
CC: snowhite !!!!!!!!
Karibu Mkuu, umeniacha hoi na marojorojo. Vijana tumekuwa mno mayai bhana, sijafika miaka 30, nikiri rika letu ni tatizo, watu ni laini sana. wagumu wamebaki wachache mno. wengi wanajivunia tricks za kuwa na warembo wengi na kunyonya vikojoleo bhasi. physical performance ''poor''
Nimeona comment moja ya pilipili.
Pilipili ina kemicali inayoitwa 'capsaicin' ambayo huyeyusha kemikali flani (substance k au s,) ambayo huifanya damu kuwa nzito (sikumbuki ni s au ni k) kwa hiyo ikishayeyushwa damu inakuwa nyepesi sana. Ndio maana mtu akishakula pilipili hujishikia refreshed baadae. kumbuka pia erection huchagizwa sana na mzunguko mzuri wa damu, so unajua kama damu ikishakuwa nyepesi nini kitafuatia kwenye erection. so pilipili husaidia sana mwanaume. Pia pilipili husaidia kupunguza kolestro, huongeza apetite na ni kiburudisho pia. (nakula mno pilipili so ikanilazimu kujifunza faida zake)
Kuna wengine wanadai Mihogo mibichi inaongeza hio mambo lakini si kweli, mihogo mibichi inakuwa digested (broken down) kwa uharaka na kuzalisha nishati kwa uharaka, so kama mtu akiwa hana nguvu (stamina ya kutosha) akila hio simpo starch itampa nguvu kwa uharaka kuliko aliyekula ugali wa dona.
Wataalamu wa sayansi watasaidia hapa, mimi ni wa fani tofauti kabisa ila ni mdadisi kidogo
Tized.
ha ha ha umeuaaaa!!kweli mimi nashangaa sana, jipangeni aisee, mambo yanaharibika.....
enzi zetu yaani hutamani hata kulala kwake maana unajua unaweza zimia kabla ya asubuhi. yale masaa mawili ya kutoroka home tu ukirudi home unawahi glasi ya maji na panadol, unanywea mbele ya mama, kudanganya kuwa unaumwa ili usipewe kazi ya kuunga mboga, hali tete, unahitaji kulala tu. sasa usiku mzima si unaweza fia njiani!
hapo red sioni sababu ya wewe na wastaafu wenzio kushangaa..............
ngoja nikuulize babu hivi mechi ya kwanza klabu ya ugenini inakuwaje?? halafu tena kwa mchezaj ambaye hajawah kucheza ligi kuu alikuwa ligi daraja la tatu tena sabu sio kikos cha kwanza??
lets talk facts kijana hata kuweza kupiga raund mbili namsifu manake kwa siku ya kwanza tena kwa mtu alokuwa amejaza kichupa lazima imshinde kabisa. hawez akaonyesha kiwango haroub othuman wakati anachezea ligi daraja la tatu na kila siku yuko benchi na kama akiingia basi ni kama substitution na sio kikos cha kwanza.
sikiliza nikupe siri shosti...kama kweli unampenda kwa dhati, kwanza usichukulie hilo km ni tatizo, bali chukulia kama ni mtihani mdogo tu na utapita...mwambie awe makini na vyakula anavyokula, pia anywe supu ya pweza, ale karanga mbichi nk..vyakula vingine msaidie hata ukipata nafasi ingia google usachi utavijua tu. Pole sana na kila la kheri Inshaallah!
Pamoja na heshima zote kwako teacher,
Bado natofautiana na wewe kuhusu siku ya kwanza kwa Me. Hata kama perfomance siyo Maximum ila mtu anajitahidi kuonesha viwango vya kutosha ili kujihakikishia namba kwenye kikosi cha kwanza.... Kwa KE nasikia huwa imetawaliwa na hofu kibao...mtasema wenyewe!!
Kama nakosea, ngoja wakubwa wenzangu wakuje watusaidie kukata hili shauri...
Kaizer, The Boss, Asprin, BAK, Eiyer, Mtambuzi, Fixed Point,
Babu DC!!
Ahsante sana mkuu kwa shule yako ya nguvu....naiona science ya kutosha ingawa nitahitaji muda kidogo kufanya utomaso...
Mimi siyo mlaji wa pili pili kabisa...ila nashangaa kama mbwa mzee naye anaweza tena kufundishwa kuwinda...
Babu DC!!
uko safe sana babu usiongope.
manake naona uemanza kujitetea............
hayan bhana karibu twende ngongongare
Karibu Babu, jipe muda utomaso utakuleta kundini.
mbwa mzee anajua trick zote, nina mengi ya kujifunza kwako mkuu. mwenyewe ni mpenzi tu wa pilipili siku nyingi.
nikiwa primary school (kijijini), jamaa walikuwa wanaweka dau nakula yale mapilipili marefu mekundu kama sita ivi kuonesha ugumu (hakuna kumeza, unakaa nayo tu kinywani). haki ya nani nilikuwa nasikia kama mashavu yanang'oka na kuwaka moto, lakini kwa kuwa ni mtoto wa kiume, tulikuwa tunajua mwanaume huwa halii. so unakomaa hivyo hivyo unachukua dau lako unaenda kujipooza na chochote. ukiniambie nile kile kiwango sasa lazima nizimie kwa kweli.
Hujachelewa kufaidi uzuri wake mkuu. (apetizer, kupunguza colestro na kukuburudisha) hiyo faida ya mgegedo tuachie sisi taifa la kesho.
Tized.
kwa upande wangu naungana nawe kabisaaaaa.....Pamoja na heshima zote kwako teacher,
Bado natofautiana na wewe kuhusu siku ya kwanza kwa Me. Hata kama perfomance siyo Maximum ila mtu anajitahidi kuonesha viwango vya kutosha ili kujihakikishia namba kwenye kikosi cha kwanza.... Kwa KE nasikia huwa imetawaliwa na hofu kibao...mtasema wenyewe!!
Kama nakosea, ngoja wakubwa wenzangu wakuje watusaidie kukata hili shauri...
Kaizer, The Boss, Asprin, BAK, Eiyer, Mtambuzi, Fixed Point,
Babu DC!!
babu, kwani ukichokozwa ni lazima uchokozeke?Halafu siju kwa nini jinsia yenu ina tabia ya kuwachokoza sana wasiojiweza......??
Mie nimeshastaafu bwana na mniache nijilie pensheni yangu na Bibi.....
cc: Fixed Point, snowhite, Smile, Kongosho....
Babu DC!!
kwa upande wangu naungana nawe kabisaaaaa.....
mechi ya kwanza kwangu huwa inakuwa ngumu sana,,,,, yaani utaniona kabisa nimebadilika sura na nina hofu sana yaani sina amani.
lakini kwa uzoefu wangu kidogo niliokuwa nao (kama wakaka 150) hivi, (hivi dunia ina jumla ya wanaume wangapi babu? teh teh tehhhhh). siku ya kwanza kwa mwanaume inakuwa ni siku ya mauaji...... yaani hata kama utakuwa naye kwa masaa mawili atahakikisha ameyatumia yoooteee bila hata kukupa pumzi. kama ana wewe usiku kucha basi jua kabisa hiyo siku hakuna kulala. siku nyingine anaweza zembea but siyo siku za mwanzo
babu, kwani ukichokozwa ni lazima uchokozeke?
mbona jinsia ya sisi tuna uwezo wa kutochokozeka hata uje na gunia la misumari?
Mkuu, mimi na wewe tuko karne tofauti.... uzinzi ndo habari ilotukuka siku hizi
Nimefurahi kuwaona gfsonwin na Fixed Point
babu dc leo umeamua jamani.
Mimi nachoshangaa kijana kalala na ke mpyaaa afu eti asubuhi haijastand?hivi kweli inakuja?